Hivi Kuna Mwanamke Ambaye Hajui Kupika?

hahahahhaaah, hata mtaani kwangu yumo, kaolewa Desemba, 2017. Alikulia na kusomea China, hajui kupika, hata kufua, amemwambia mumewe amnunulie mashine ya kufulia nguo na chakula watakuwa wanakula hotelini.
"Shikamoo Mzee Kumchaya kwa malezi bora"
Nimebaki mdomo wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…