hahahahhaaah, hata mtaani kwangu yumo, kaolewa Desemba, 2017. Alikulia na kusomea China, hajui kupika, hata kufua, amemwambia mumewe amnunulie mashine ya kufulia nguo na chakula watakuwa wanakula hotelini.
"Shikamoo Mzee Kumchaya kwa malezi bora"
hahahahhaaah, hata mtaani kwangu yumo, kaolewa Desemba, 2017. Alikulia na kusomea China, hajui kupika, hata kufua, amemwambia mumewe amnunulie mashine ya kufulia nguo na chakula watakuwa wanakula hotelini.
"Shikamoo Mzee Kumchaya kwa malezi bora"