Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
"WE ULIONA WAPI" JAJI MKUU ANAKAIMU NAFASI HIYO MIEZI NANE KABLA YA KUTHIBITISHWA?Issue ni ubora wa mahakama juu ya maamuzi ya mashauri! Wewe ukikompare unafikili wapi mahakama ni bora kuliko?? Hata wewe leo ukijua ubora wa mahakama hutaogopa mana unajua utatendewa haki..!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Anza kutoa kafara wewe, kam ni kufa ufe ili wengine wapone.Wangekuwa hawapo wapinzani basi wasingekuwa wanahangaika kuwapeleka central Police, kupora kura, kutesa na kuua wapinzani wangewaacha wajipatie matonge yako kama katiba inavyotaka kila mtu apate chakula.
CCM tulichofanya Safari hii Mungu lazima atulipie tena kabla hata ya 2025.
Jela za afrika zinafafana ukiweza kaa jela za afrika huwezi shindwa kaa kuzimulabda jela za Uganda zina kiyoyozi ,hizi zetu ni kadirisha tuu cha hewa
Ni kujitafutia matatizo na shida tu zisizo na msingi. yaani wapinzani ni wapumbavu na wenye akili za mfano wa vichaa. Bobi Wine ni mpumbavu sana.Baada ya Kukamatwa Juzi na leo kupelekwa Mahakamani angalia jinsi Mwanasiasa Jasiri wa Uganda Robert Kyagulanyi alias Boby Wine alivyojitetea
"I am not here because I committed a crime. I am here because I offered myself to lead Ugandans into ending 35 years of a dictatorship," Presidential candidate Robert Kyagulanyi has said in the Iganga Chief Magistrate's court.
NTV Uganda
Kuna Wanasisa wa nchi zingine hasa Jirani Wao wakikamatwa tu na kwenda Mahakamani wanaishia Kulia, Kujamba na Kuwaza Wataishije Jela.
Hivi ni kwa nini huchukui hiyo nafasi baada baada ya kubaini huo udhaifu? Hivi kuna watu alioowateua Mungu wawe wapinzani kiasi kwamba Kazi hiyo wewe huwezi kuifanya?Tanzania hakuna wapinzani bali kuna Wasaka Tonge!
Ninachojua tu ni kwamba kila Mwanadamu ni Mnafiki na hakuna Maisha bila ya Unafiki na ndiyo maana hata Wewe anayekukaza ulimfanyia Unafiki.Mnafiki wa Jf kwenye ubora wake.
Binafsi ningemwona Mwamba kama angesema hivi, "I am not here because I committed a crime. I am here because I offered myself to lead Ugandans into ending 35 years of a dictatorship OF PRESIDENT YOWERI KAGUTA MUSEVENI"!Baada ya Kukamatwa Juzi na leo kupelekwa Mahakamani angalia jinsi Mwanasiasa Jasiri wa Uganda Robert Kyagulanyi alias Boby Wine alivyojitetea
"I am not here because I committed a crime. I am here because I offered myself to lead Ugandans into ending 35 years of a dictatorship," Presidential candidate Robert Kyagulanyi has said in the Iganga Chief Magistrate's court.
NTV Uganda
Kuna Wanasisa wa nchi zingine hasa Jirani Wao pia wakikamatwa tu na kwenda Mahakamani wanaishia Kulia, Kujamba na Kuwaza Wataishije Jela.
Angeweza angekimbia nchi na kuwaacha wale waliokuwa wakimuamini? Kwangu Mimi Boby Wine ni Shujaa kuliko Yeye kwakuwa hajaikimbia nchi.Kwahiyo wewe unaona LISSU Anashindwa?
Mkuu, Jamaa hapo ameulizia Euro Million 27 mlizopewa kwa ajili ya Covd19 ! mmezipeleka wapi ?, hajaongelea ukoloni, Jibu hoja.Unazungumzia ule ulaghai wa kuwachukua wazee wetu kama watumwa wao, si ndiyo eeh??? Na kutupatia vioo (vioneleo) halafu wanasomba midhahabu, madini na ndugu zetu??? Jifunze kutafakari sana unapozungumza.
Gentamycine.Baada ya Kukamatwa Juzi na leo kupelekwa Mahakamani angalia jinsi Mwanasiasa Jasiri wa Uganda Robert Kyagulanyi alias Boby Wine alivyojitetea
"I am not here because I committed a crime. I am here because I offered myself to lead Ugandans into ending 35 years of a dictatorship," Presidential candidate Robert Kyagulanyi has said in the Iganga Chief Magistrate's court.
NTV Uganda
Kuna Wanasisa wa nchi zingine hasa Jirani Wao pia wakikamatwa tu na kwenda Mahakamani wanaishia Kulia, Kujamba na Kuwaza Wataishije Jela.
Kama Carlos The Jackal alipewa Jukumu la Kumuua Rais Museveni pale Entebbe Airport kwa Maelekezo ya aliyekuwa Rais wa Sudan Omar Bashir alishindwa kuna Mpumbavu mwingine ataweza Kummaliza? Na kwa Kukusaidia tu Kukamatwa kwa Carlos The Jackal kuliratibiwa vyema na Rais huyo wa Sudan baada ya kuhisi kuwa huenda Carlos The Jackal alipewa Pesa na Museveni akashindwa Kumuua. Sudan ndiyo iliwatonya Interpol mahala alikokuwa Carlos The Jackal ndipo nao wakawatuma Askari wao kutoka nchini Ufaransa ambapo walimkamatia huko Sudan Rais Museveni ana vitu vingi ambavyo huwa vinamkinga mno ashindwe Kuuwawa au Kupata Shambulio lolote. Naomba niishie hapa tafadhali.Museveni dawa yake ni risasi tu.
Hela siyo maboga eti ziliwe aisiee! Kaangalieni huko benki lazima tu zipoMkuu, Jamaa hapo ameulizia Euro Million 27 mlizopewa kwa ajili ya Covd19 ! mmezipeleka wapi ?, hajaongelea ukoloni, Jibu hoja.
Hawezi kusema hivyo kwa sababu anajua M7 ni mzalendo wakati yeye ni just a Western & European imperialist puppet. Halafu, aisee, huu ung'eng'e wako ulivyopinda mbona PM Netanyahu hajauediti lakini???Binafsi ningemwona Mwamba kama angesema hivi, "I am not here because I committed a crime. I am here because I offered myself to lead Ugandans into ending 35 years of a dictatorship OF PRESIDENT YOWERI KAGUTA MUSEVENI"!
Hata ashauriwe vipi hawezi katu kuelewa chochote maana akili zake ameziacha maili elfu huko London & Washington na wala hata hajakaa kutamani tena kuziendea maana kakolewa na kunogewa mihela yao.
Hivi wazee wetu wangekuwa kama nyinyi . Tungepata uhuru huo wa bendera kweli ?!Happy nimekuelewa,wanaharakati njaa hawa
Hayati Nelson Madiba Mandela angekuwa tu na Akili za Kipumbavu kama zako Weusi wa Afrika Kusini wasingekuwa Huru leo na dunia isingemlilia.Yule Bob wine huwa namwona Kama chizi ,anaitesa familia na ndugu zake tu.
Hivi Hana mshauri? Mtu Kama huyo hapaswi kuwa na familia.
Huwa nachukia na sipendi kweli Mtu ambaye najua au namjua kabisa ni Mtanzania ( Mswahili ) Mwenzangu halafu anapenda Kuandika Kiingereza.He is brave. Some sort of brave politicians are also here in Tz but lack popular support. The people of Uganda and Kenya are brave. They tolerate no nonsense.
Hakika tusingepata uhuru kabisa maana madini yote na rasilimali zetu wangeshazisalimisha the Hague na Bob Amsterdam angekuwa anamiliki gesi yote ya Mtwara, dhahabu ya Geita na hifadhi na vivutio vyote, Mlima Kilimanjaro, Bwana la Rufiji na tausi wa Chamwino, na pia angekuwa na mjengo wake pale Kigamboni.Hivi wazee wetu wangekuwa kama nyinyi . Tungepata uhuru huo wa bendera kweli ?!