Hivi kuna mwandishi kama Ngosha Tanzania hii?

daah mkuu fid ana ngoma ngapi!!?..unaleta hicho kipande,mbona haitoshi!!
daah mkuu fid ana ngoma ngapi!!?..unaleta hicho kipande,mbona haitoshi!!
Kwa mantiki yake basi hata Nikki Mbishi inabidi aseme anacopy maana kwenye wimbo wa nyakati za mashaka kuna mstari anasema "Life is like a dice game" huu mstari ni jina la wimbo wa Nas na pia kwenye chorus ya huo wimbo kuna huo mstari unajirudia rudia.
wanaodai Fid anacopy hawaezi kukupa ushahid wa maana mkuu
 
Wayne ktk mirror alimtaja Jackson so hakuna shida. Lakini huyo huyo Wayne ktk Fireman kama sikosei alikuwa na kesi ya wizi wa line. Kwa Fid ni ngumu kudhibitisha kwa sababu huku tulipo mstari wa mziki haujachukuliwa kama serious issue kivile. Lakini kuna siku tutarudi ktk huu udhi kudhibisha au kukanusha.
 
Kwa mantiki hiyo basi hata Nikki Mbishi inabidi aseme anacopy maana kwenye wimbo wa nyakati za mashaka kuna mstari anasema"Life is like a dice game" huu mstari ni jina la wimbo wa Nas na pia kwenye chorus ya huo wimbo kuna huo mstari unajirudia rudia.
Basi kwa kigezo hicho ukifuatilia kila man hip hop bongo lazima kuna mistari flani aliwahi iweka kwenye verse zake kaitoa mahari.
 
daah mkuu fid ana ngoma ngapi!!?..unaleta hicho kipande,mbona haitoshi!!


Naomba niwaache muendelee kumtukuza fid

Ukisoma vitabu ukaangalia movie fid mwepesi sana ukiacha hizo habari zingine ndogo ndogo
 
Naomba niwaache muendelee kumtukuza fid

Ukisoma vitabu ukaangalia movie fid mwepesi sana ukiacha hizo habari zingine ndogo ndogo
Umeshindwa kuthibitisha madai yako ukaishia kusema hivyo umetoa mfano wa mstari aliocopy na mimi nikakuwekea wa FA na Nikki Mbishi. Actually ukifuatilia nyimbo zote za kila msanii huwezi kukosa mistari kadhaa alizo chukua kwenye vitabu, movie au misemo au hata nyimbo nyingine.
So madai yako biula kuambatana na ushahidi wa kujitoshereza hayana mashiko. lets call it a day.
 
jamaa atakua underground..wakikaa studio wanaponda walio juu yao na kutafuta mbadala wa kumsifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…