Mizigo gani hiyo kaka?Kuna moja ilipeleka mizigo juzi kati
Mizigo ya mwendazakeMizigo gani hiyo kaka?
Haya bhana!Mizigo ya mwendazake
Mdau baada msiba vipi tena wakati msiba unaendelea bado kwa siku 21."Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Kwa hiyo kuna ndege pale inasubiria msiba uishe?Mdau baada msiba vipi tena wakati msiba unaendelea bado kwa siku 21.
Halafu hiyo ya Mzee Mwinyi hiyo.... 😀
Je kuna ndege yoyote iliyo Tua KIA, JKIA, MWANZA, tangu kipindi hicho?"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Tumwulize YEHODAYA"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Hili ni swali au jibu?Je kuna ndege yoyote iliyo Tua KIA, JKIA, MWANZA, tangu kipindi hicho?
Who knows, subira yavuta kheri.Kwa hiyo kuna ndege pale inasubiria msiba uishe?
Popo ni ndge vile?Yes Popo wanatua daily hapo.
Pamoja mkuuHaya bhana!
Nasikia eti Ilipeleka mbao na matofali pamoja na mifuko ya cement kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa uwanja wa kimataifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mizigo gani hiyo kaka?
Au Kawe Almin😂Muulize Bia yetu ,muulize