Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Kama ningekuwa CEO wa ATCL kwa kwa kweli nisingekwenda viwanja vifuatavyo;
1. Chato
2. Mpanda/ Katavi
3. Songea
4. Iringa
5. Shinyanga

Ukisikia CAG anasema kwa mahesabu ya 2019/21, ATCL imepata loss ya Tsh 60 Bilion, ujue sababu ni kwenda kwenye viwanja vya peripheral.

FAST JET walioperate kwa faida kwa kwenda Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya tu.

Hakuna haja ya kwenda kwenye mikoa kwa ajili ya kuwaridhisha wanasiasa. Huu siyo mwenge wa uhuru, bali ni biashara ambayo lazima izalishe faida
 
Usiku wa kuamkia leo ndege nyingi zilitua Chato, zikileta utitiri wa wageni kuja kutoa pole kwa wafiwa. Hii imepelekea kufikia hatua wananchi kujitokeza kwa wingi sana kuja kuunga mkono juhudi za marehemu kwa kuzishangaa.

Miongoni mwa ndege hizo ni Air Force ya USA, iliokua ikiendeshwa na Kepteni Mshana Jr ilimleta Makamu Wa Rais Kamala Harris kuja kumwakilisha Rais Wa Marekani na watu wake.

Kiwanja cha ndege chato kipo bussy sana kuliko hata cha KIA.
tapatalk_1573740542218.jpg
 
Ndege zinatua Chato kama kawaida. Dar-Geita-Mwanza-Dar. Mondays, Thursdays & Fridays
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Chuttle is dying...let's all pray for this diminishing city....
Rest in peace in advance dear chuttle... We loved you for real... But nature love you more...
giphy.gif
 
Hivi Chato sio Tanzania?

Hivi Dar es Salaam sio Tanzania?

Hivi Kilimanjaro sio Tanzania?

Hivi Mtwara sio Tanzania?

Hivi Zanzibar sio Tanzania?

Na maeneo mengine sio Tanzania?

Maeneo niliyoyataja hapo juu ni International Airport...kwani ni vibaya na wao wakawa na kiwanja?

Acheni majungu...chapeni kazi
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Hivi chato kupelekewa maendeleo kunawasha nini eti?au chato sio Tanzania au chato hapastahili kupata maendeleo mbona mnafitina na ushabiki mandazi eti
 
Kama ningekuwa CEO wa ATCL kwa kwa kweli nisingekwenda viwanja vifuatavyo;
1. Chato
2. Mpanda/ Katavi
3. Songea
4. Iringa
5. Shinyanga

Ukisikia CAG anasema kwa mahesabu ya 2019/21, ATCL imepata loss ya Tsh 60 Bilion, ujue sababu ni kwenda kwenye viwanja vya peripheral.

FAST JET walioperate kwa faida kwa kwenda Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya tu.

Hakuna haja ya kwenda kwenye mikoa kwa ajili ya kuwaridhisha wanasiasa. Huu siyo mwenge wa uhuru, bali ni biashara ambayo lazima izalishe faida
Ni vyema hiyo hasara ikaangaliwa kwa upana zaidi kuliko ulipoishia kwa kuanzia aina ya ndege zilizopo na aina ya operations, maintenance, mikataba, na maeneo mengine. Kila kona ya Tanzania kuna Watanzania wanaohitaji usafiri wa ndege. Cha msingi ni kuzingatia aina ya ndege ya kupeleka na idadi ya route kwa wiki.
 
Back
Top Bottom