Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Kwenye Uzi huu sihami Leo naona mvua za rhumba zinaandaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni balaa ya zote likipigwa hili dude lazima mtulie hata km mpo msikitini mnasikiliza mawaiza mara limepita gari la matangazo linapiga huo mgoma pembeni ya msikiti Imamu lazima aahirushe Swala akaruke ndebe kidogo maana hakuna namna100 Kilo
Wanakichaa nambuka Hidaya wa Pepe Kalemaan ake ujue congo kwnye mashairi ya mapenz wanakichaaa
Zile jamaa alitumia uchawiZile sijui zilitengenezwa vipi, haziishagi ladha zile
Hilo 100 KG halichoshi halafu linachezeka na rika zote mpaka mtoto wa mwaka 0 akasikia atacheza mzee wa miaka 100+ akasikia atacheza hata kwa kutikisa kichwa tu yaan ni ngoma ambayo haina umri wala rika ni ngoma ya rika zote, alieupika ule mdundo producer sijawahi ona amepewa tusoIla vita imana na 100kg zile ngoma unaweza pata hata mkopo 😂
Ni nuksi
Msikilize Fally Ipupa utazijua rhumba kali zinakuwajeYes, kwa utamu na mpangilio wa rhythm na souti huku mdundo ukidunda kwa taratibu hadi mwili automatic unayumba kwa muitikio wa mapigo ya music, unaweza weka repeat asubuhi mpaka usiku usichoke kulisikiliza hili dude. Je, kuna rhumba kali kuliko hiki chuma katika ulimwengu wa rhumba?
Koffi na Fally ndiyo mastaa wa CongoKoffi Hana rhumba ya kumzidi Ferre Gola lakini pia Ferre sio mwanafunzi wa Koffi, alienda quarter latin akiwa tayari star na rhumba nyingi kama 100 kilosa na vita imana, mwalimu wa Ferre ni Werrason hapo itakuwa sawa mkuu.
Huyo Ferre mbona hata hajulikaniFally hawezi kumkuta Ferre hata robo, ukiona mtu anamsifia Fally mbele ya Ferre huyo hajui rhumba ni nini, wajuzi kama wewe ndio mnajua uzuri wa rhumba na mfalme wa rhumba music ni Ferre
Yupo kama alikiba watu wanaojua wanaamini wanajua bila ya kutumia nguvu wala promoHuyo Ferre mbona hata hajulikani
Achangamke basi ili tumsikie na tumpime kama kweli anajua otherwise Fally ni mfalme wa rhumbaYupo kama alikiba watu wanaojua wanaamini wanajua bila ya kutumia nguvu wala promo
Muziki unapogonga kichwani mwa mtu huwa unasimakisha shughuli zote zinazoendelea ndani ya kichwa then unabaki wenyewe kama mtawala, unaweza ukajikuta chozi linakutiririka halafu haujui kwanini😅😅😅Hii ni balaa ya zote likipigwa hili dude lazima mtulie hata km mpo msikitini mnasikiliza mawaiza mara limepita gari la matangazo linapiga huo mgoma pembeni ya msikiti Imamu lazima aahirushe Swala akaruke ndebe kidogo maana hakuna namna
Ndio hivyo mkuu wapishi wa muziki na watunzi wa melody wana pepo yao ya pekee huko mawinguniMuziki unapogonga kichwani mwa mtu huwa unasimakisha shughuli zote zinazoendelea ndani ya kichwa then unabaki wenyewe kama mtawala, unaweza ukajikuta chozi linakutiririka halafu haujui kwanini😅😅😅
Usikilizie nini tena?Sasa si muuweke tuusikilize wote!
Kabisa mkuuNdio hivyo mkuu wapishi wa muziki na watunzi wa melody wana pepo yao ya pekee huko mawinguni
Fally huwa. Na vitu vyake kama associie,mor amore. Se_y,mayday, sweet llife nidjaAchangamke basi ili tumsikie na tumpime kama kweli anajua otherwise Fally ni mfalme wa rhumba