Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo rhumba ni ipi mkuu au hujui rhumba ni nini, eloko oyo iwe rhumba na eclipse itakuwa nini. Original sio rhumba pia ni sebene kibongobongoEloko oyo,service,original na French kiss
Mimi hata sielewi mimi ninachojua kila wimbo wa Fally ni rhumbaSasa hapo rhumba ni ipi mkuu au hujui rhumba ni nini, eloko oyo iwe rhumba na eclipse itakuwa nini. Original sio rhumba pia ni sebene kibongobongo
Zipo genres tofauti tofauti ila sio nyimbo zote za Fally ni rhumba.Mimi hata sielewi mimi ninachojua kila wimbo wa Fally ni rhumba
Kwani Congo wanaimba miziki ya aina ngapi
Rhumba ni kama zipiZipo genres tofauti tofauti ila sio nyimbo zote za Fally ni rhumba.
upo sahihi fally na fere ni kama mondi na kiba yaani fally ana kismati tuu (full mapicha picha) Feregola ni hsbari nyingine by the way, fere amewai kuja bongo? last time nilitimba kenya kushuhudia show ya fere.Fally hawezi kumkuta Ferre hata robo, ukiona mtu anamsifia Fally mbele ya Ferre huyo hajui rhumba ni nini, wajuzi kama wewe ndio mnajua uzuri wa rhumba na mfalme wa rhumba music ni Ferre
Huyo Ferre hawezi kumfikia Fally kwa hitsupo
upo sahihi fally na fere ni kama mondi na kiba yaani fally ana kismati tuu (full mapicha picha) Feregola ni hsbari nyingine by the way, fere amewai kuja bongo? last time nilitimba kenya kushuhudia show ya fere.
ana kismati janja janjaFally mjanja mjanja tu
Vita imana ile ya werasoni wa wenge musica au?Ila vita imana na 100kg zile ngoma unaweza pata hata mkopo 😂
Ni nuksi
Carte Rose nakubali mkuu 100%...ipo kwenye repeating mode yangu toka imetokaZipo nyingi Kaka..Isikilize Carte Rose Pia..Kuna mtu juzi nilikuwa nabishana nae namwambia Ferre Kwa Rumba ni mkali kuliko Fally akawa anabisha nikaachana nae 🤣
Mkuu kasikilize na "Carte Rose" ya ferre ile ni balaa pia, Humo ndani mkwe wa Tshisekedi katendewa haki.Ila vita imana na 100kg zile ngoma unaweza pata hata mkopo 😂
Ni nuksi
My ringing toneView attachment 3247520 Chumaa hio feux de l_amour
Katazame maan ake ujue congo kwnye mashairi ya mapenz wanakichaaa
Vita imana habari nyingine aiseePointi ofu koreksheni..... “Vita Imana” ndio wanaitaga wimbo wa taifa sio 100 kilos
Upo
upo sahihi fally na fere ni kama mondi na kiba yaani fally ana kismati tuu (full mapicha picha) Feregola ni hsbari nyingine by the way, fere amewai kuja bongo? last time nilitimba kenya kushuhudia show ya fere.
Wakuu msitake kumuandareti Fally kivileeeFally hawezi kumkuta Ferre hata robo, ukiona mtu anamsifia Fally mbele ya Ferre huyo hajui rhumba ni nini, wajuzi kama wewe ndio mnajua uzuri wa rhumba na mfalme wa rhumba music ni Ferre
Mkuu wewe umeelezea vyema kabisa!Wakuu msitake kumuandareti Fally kivileee
Ipo hivi
Ferre Gora anapiga Rumba la asili kabisa ya congo na ndio maana anakubalika zaidi ndani ya DRC(simaanishi nje hapendwi)
Fally ni dizaini ya akina Papa Wemba... wataalamu wa kumix rumba na kuadapt kulingana na wakati na mazingira na genre zingine za muziki
Ndio maana Fally anakubalika zaidi nje ya DRC
Fally na Gola kila mmoja akifanya tamasha siku moja pale Kinshasa basi kuna hati hati Fally akatumbuiza viti kwenye tamasha lake
Lakini ikiwa ni nje ya DRC Fally ni habari nyingine kabisa, jamaa kaliteka soko la Africa na dunia
Ferre Gola alikujaga Dar aisee tamasha tulikwenda tunaojua muziki tu lakini Fally watakwenda watu wote wanaopenda muziki
So nawaelewa zaidi kama mnamaanisha Rumba halisi
Utakunywa soda au biaWakuu msitake kumuandareti Fally kivileee
Ipo hivi
Ferre Gora anapiga Rumba la asili kabisa ya congo na ndio maana anakubalika zaidi ndani ya DRC(simaanishi nje hapendwi)
Fally ni dizaini ya akina Papa Wemba... wataalamu wa kumix rumba na kuadapt kulingana na wakati na mazingira na genre zingine za muziki
Ndio maana Fally anakubalika zaidi nje ya DRC
Fally na Gola kila mmoja akifanya tamasha siku moja pale Kinshasa basi kuna hati hati Fally akatumbuiza viti kwenye tamasha lake
Lakini ikiwa ni nje ya DRC Fally ni habari nyingine kabisa, jamaa kaliteka soko la Africa na dunia
Ferre Gola alikujaga Dar aisee tamasha tulikwenda tunaojua muziki tu lakini Fally watakwenda watu wote wanaopenda muziki
So nawaelewa zaidi kama mnamaanisha Rumba halisi
Upo sahihi sana.Wakuu msitake kumuandareti Fally kivileee
Ipo hivi
Ferre Gora anapiga Rumba la asili kabisa ya congo na ndio maana anakubalika zaidi ndani ya DRC(simaanishi nje hapendwi)
Fally ni dizaini ya akina Papa Wemba... wataalamu wa kumix rumba na kuadapt kulingana na wakati na mazingira na genre zingine za muziki
Ndio maana Fally anakubalika zaidi nje ya DRC
Fally na Gola kila mmoja akifanya tamasha siku moja pale Kinshasa basi kuna hati hati Fally akatumbuiza viti kwenye tamasha lake
Lakini ikiwa ni nje ya DRC Fally ni habari nyingine kabisa, jamaa kaliteka soko la Africa na dunia
Ferre Gola alikujaga Dar aisee tamasha tulikwenda tunaojua muziki tu lakini Fally watakwenda watu wote wanaopenda muziki
So nawaelewa zaidi kama mnamaanisha Rumba halisi