The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kuna jambo huwa naangalia naona kama hawa Wana CCM wakitaka kumkosoa raisi wengi wao wanazunguka zunguka Tu hawaendi straight.
Mara nyingi lawama zimekuwa zikienda.kwa mawaziri. Ila ukichunguza Kwa undani kabisa mhusika mkuu ni raisi wa jamhuri ambaye Hana maamuzi yenye mantiki.
Hawa wanaCCM wakosoaji huanza Kwa kumsifia Mama ila wakianza kutoa shutuma Kwa mawaziri mambo mengi yanahitaji maamuzi ya kiongozi wao mkuu.
Swali Kwa Nini wanakuwa waoga hivi kwenda Direct Kwa mama tutafika kweli kama tutaendesha Nchi Kwa uoga na kuoneana aibu?
Au tusubiri chadema ambao nao kuwaamini ni ngumu, maana ni vigeugeu hasa wanapolambishwa asali.
Mara nyingi lawama zimekuwa zikienda.kwa mawaziri. Ila ukichunguza Kwa undani kabisa mhusika mkuu ni raisi wa jamhuri ambaye Hana maamuzi yenye mantiki.
Hawa wanaCCM wakosoaji huanza Kwa kumsifia Mama ila wakianza kutoa shutuma Kwa mawaziri mambo mengi yanahitaji maamuzi ya kiongozi wao mkuu.
Swali Kwa Nini wanakuwa waoga hivi kwenda Direct Kwa mama tutafika kweli kama tutaendesha Nchi Kwa uoga na kuoneana aibu?
Au tusubiri chadema ambao nao kuwaamini ni ngumu, maana ni vigeugeu hasa wanapolambishwa asali.