PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Sawa MkuuMkuu tafuta hela hata wako atakua mkali kumzidi huyo.
Hampati Bi. ChauView attachment 394821
Mkuu shilole anauzuri wa kawaida tu sio kivileHaingii hapa
sio mzuri huyu ukikutana naye hajapaka make up lazma utoke ndukiView attachment 394795View attachment 394796View attachment 394797View attachment 394798hivi kuna staa mwingine Afrika mashariki ni mrembo na mzuri kumzidi huddah maana huyu binti huwa nachungulia picha zake kwenye page yake naona kila siku anazidi kuwa mrembo na mzuri,ki ukweli wenye mpunga mrefu wanafaidi Sana maana inaonyesha huyu binti bila mpunga huwezi mpata ngoja tu niendelee na michakato yangu ya uvuvi na kumtamani kwenye picha tu!View attachment 394808
Mkuu umetumia maneno makali sana kuhusu shilole sio poa!!
!
huyu mchafumchafu bwana.....Kitu lulu mkuu
Mkuu umetumia maneno makali sana kuhusu shilole sio poa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]!
!
Huyu nae kajikoboa mno aisee hadi kawa mwekundu. Namkubali zaidi bi Hindu. Yule huwa anachamba mpaka basi....kuna siku alimchamba mwizi hadi akafa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hata sie tusiomfahamu tunaonamie najua hudah maplastic surgery ndo yanambadilisha. Hakuna kitu pale kilakitu ni artificial
Ha ha ha.hata sie tusiomfahamu tunaona
kuna watoto wakali uswazi humu sema hawajui hata insta ni nini !!!!!!!!!kisha wana maisha ya kawaida wangekuwa wana level ya huyu huddah ya maisha angekimbia kabisa,,, uswazi ni noiumer
ndo kanani haka mbona kanaonekana kabaya tu, mwambie afute hayo mauchafu ya usoni tumuone vizuriView attachment 394795View attachment 394796View attachment 394797View attachment 394798hivi kuna staa mwingine Afrika mashariki ni mrembo na mzuri kumzidi huddah maana huyu binti huwa nachungulia picha zake kwenye page yake naona kila siku anazidi kuwa mrembo na mzuri,ki ukweli wenye mpunga mrefu wanafaidi Sana maana inaonyesha huyu binti bila mpunga huwezi mpata ngoja tu niendelee na michakato yangu ya uvuvi na kumtamani kwenye picha tu!View attachment 394808