Hivi kuna tafauti ya Utongozaji baina yetu na wazungu ?

Genderi

Senior Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
102
Reaction score
17
Kwa wale wenye uzowefu wa kutongoza wazungu na wanawake wa hapa nchi mnatueleza nini katika mada hii?
 
Kwa mujibu wa tajiriba yangu hakuna tofauti yoyote ile.
 
mie naona tofauti ipo, wazungu waongea kwa ishara zaidi wakati wabongo ni wanapiga neno mwanzo mwisho.
 
mie naona tofauti ipo, wazungu waongea kwa ishara zaidi wakati wabongo ni wanapiga neno mwanzo mwisho.
kumbe huwajui wazungu..kwanza niambie wazungu ni watu gani?
 
Kama unasemea wazungu kama wazungu nikimaanisha kutoka huko ubeparini wanatongozeka kutokana na malengo yako, kama unataka party time haina haja ya kutongoza, wewe kamata kilaji (drinks) beba. Kama unataka kuoa, basi wewe usiwe na haraka sana za kibongo.
Kama uko Asia, wanaamini mapenzi yanatokea tu wala hayalazimishwi. Unaweza kusota hata mwaka unamfuatilia tu hadi yeye mwenyewe atakapojikuta amekua kwenye mapenzi nawewe.
 
Wazungu ukiwasifia na kuwaambia straight kwamba unataka mchezo hawataona kama umewavunjia heshima.
Tofauti na waafrika.
 
Sijui kuhusu kutongoza, lkn kutongozwa haina tofauti maana nao pia kila mtu na style yake!
 
Wazungu ukiwasifia na kuwaambia straight kwamba unataka mchezo hawataona kama umewavunjia heshima.
Tofauti na waafrika.

Realy? Wadada au? Angalia; wenzio wanafunguliwa case za harassment shauri zako! Ni wabongo tu ndio unaoweza kuwaambia chochote na kuwashika popote na ukawa infront of the bars!
 
Wazungu wanatongoza wakiwa wamekaa na sisi huwa tunatongoza tukiwa wima!
 
Nyie mliosema kuna tofauti, hebu wekeni hapa tongozo za kibongo na za wazungu tuone tofauti!
 
Mie uzoefu wangu nimeusahau nyumbani, ngoja niufuatilie nije kumwaga maujanja hapa!
 
Kongosho hulalagi?
Nitalalaje wakati uko bar, nakusaka huko huko.

nipo naye nimemshika
ODM akikusikia:hand:

kumbe huwajui wazungu..kwanza niambie wazungu ni watu gani?
Wenye nywele laini, pua ndefu na rangi ya pink

Naunga mkono ulichosema ...

Umeonaee, mtu hasemi saana
anakuwa bize na vigift mara chocolate, mara perfume, mara maua, mara kakufungulia mlango, mara you look good.

Wakati mwafulika, 'siku ya kwanza nilipokuona ulishika patashika yangu ya moyo, wewe ni sabuni na ubani wangu' utapigwa sound hadi basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…