Ana chuki na nani??
SIAMINI kama Kiba anapendwa hivyo, Ila NAAMINI Kiba anatumiwa kumshusha Diamond kinguvu!
Mkuu you are right,ila kiba hajafikia international level which diamond amefikia,so kuwafananisha ni sawa na kufananisha tui la nazi na maziwa,soon wanaotaka kumuangusha wataumbuka kwa sababu mungu ndio alimweka kny hio status pamoja na hard work
My dear si uliaga vipi tena