Hivi kuna ubaya mpenzi akitaja jina la mtu mwingine wakati mnafanya mapenzi?

Hivi kuna ubaya mpenzi akitaja jina la mtu mwingine wakati mnafanya mapenzi?

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Je, kuna ubaya gani ikitokea hivyo?

Imagine wewe ni Juma, lakini wakat una sex na mpenzio anamtaja Benja😅😅😅

Au wewe ni Asha, una sex na Mohammed, mudi wakati yuko katikati ya unono anamtaja Hamida😅😅😅😃😃
 
Hahahaaa
giphy.gif
 
Je, kuna ubaya gani ikitokea hivyo?

Imagine wewe ni Juma, lakini wakat una sex na mpenzio anamtaja Benja😅😅😅

Au wewe ni Asha, una sex na Mohammed, mudi wakati yuko katikati ya unono anamtaja Hamida😅😅😅😃😃
HAKUNA UBAYA
 
Je, kuna ubaya gani ikitokea hivyo?

Imagine wewe ni Juma, lakini wakat una sex na mpenzio anamtaja Benja😅😅😅

Au wewe ni Asha, una sex na Mohammed, mudi wakati yuko katikati ya unono anamtaja Hamida😅😅😅😃😃
We ukitajiwa watatu siku moja au tofauti utaona ni sawa tu?
 
Nenda kataje jina la 'mdudu kitimoto' Saudia, ndio utajua kwa nini sio kila mahali pa kutaja kila jina.
Get shit off inside your head.....huu ni Uzi wa kawaida
 
Au Nenda Marekani Washington vaa kanzu beba Begi jeusi ndani weka Nguo, Alafu Sema (Allahu Akbar)
 
Back
Top Bottom