Hivi kuna ubaya mtu akiwa single

Hivi kuna ubaya mtu akiwa single

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Habari wakuu, nimeona niulize swali hili baada ya kuona Jamii imekuwa na shutuma Sana kuhusu mahusiano au ndoa.

Iwe kwa kijana wa kiume au wa kike, je hakuna nafasi ya free will Kama mwanadamu🤔
👉Ni lazima wote twende na trend hiyo iliyopo??,
👉 Usinambie kupendwa, je wewe huwezi jithamini Kama mwanadamu??

Sheria ya asili(nature) inasema nguvu ya asili ipo hapo kukutumikia-
👉Pale unapo jihisi Maumivu, ita kutafutia mtu au kitu Cha kukufariji.
👉Na hivyo hivyo kinyume chake, nguvu hiyo inapoona Sasa mtu huyu kafarijika- basi huondoa sababu hiyoo.

Sasa jamani tusi hamasishane Sana katika Jambo hiloo, mtu akiona inafaa kwa nafasi yake Basi Ni sawa.


Note: sijasema watu wasipendane, au kutokuwa kuoana.
👉Wala SI support Jambo lolote hasi.
👉 I mean no malice to nobody
FB_IMG_16840176374637598.jpg
 
Well, hakuna shida kuwa single. Kwenye dini kuna mapadre, masister, n.k....

Ninavyoelewa lengo la ndoa ni ushirikano (partnership) na kukidhiana madhaifu (complementation). Kama unaweza kujikamilisha kwa mambo yote basi si lazima ndoa. Usisahau na kampani ya uzeeni pia.
 
Inategemea. Kwa mwanaume kama kimaumbile uko sawa na unapatwa na hisia za ku....DO ni muhimu sana kuwa katika mahusiano maake hamu ya kutaka kumDU chuda huwa inakuja tu kwa lazima . Kinyume chake ni hivohivo kwa Wanawake
 
Habari wakuu, nimeona niulize swali hili baada ya kuona Jamii imekuwa na shutuma Sana kuhusu mahusiano au ndoa.

Iwe kwa kijana wa kiume au wa kike, je hakuna nafasi ya free will Kama mwanadamu[emoji848]
[emoji117]Ni lazima wote twende na trend hiyo iliyopo??,
[emoji117] Usinambie kupendwa, je wewe huwezi jithamini Kama mwanadamu??

Sheria ya asili(nature) inasema nguvu ya asili ipo hapo kukutumikia-
[emoji117]Pale unapo jihisi Maumivu, ita kutafutia mtu au kitu Cha kukufariji.
[emoji117]Na hivyo hivyo kinyume chake, nguvu hiyo inapoona Sasa mtu huyu kafarijika- basi huondoa sababu hiyoo.

Sasa jamani tusi hamasishane Sana katika Jambo hiloo, mtu akiona inafaa kwa nafasi yake Basi Ni sawa.


Note: sijasema watu wasipendane, au kutokuwa kuoana.
[emoji117]Wala SI support Jambo lolote hasi.
[emoji117] I mean no malice to nobody
View attachment 2667559
Kwakweli kuishi mwenyewe pia nafikiria sanaa naona kwangu ni maisha ambayo ntayafirahia...nataman iwe ivi...bado najitafuta siku nikijipata nadhan ntaishi ivi...Namuomba Mungu anisaidie [emoji120]
 
Well, hakuna shida kuwa single. Kwenye dini kuna mapadre, masister, n.k....

Ninavyoelewa lengo la ndoa ni ushirikano (partnership) na kukidhiana madhaifu (complementation). Kama unaweza kujikamilisha kwa mambo yote basi si lazima ndoa. Usisahau na kampani ya uzeeni pia.
Uzeeni pia...ukiji andaa vizuri kwenye ujana hautosumbuka sanaa...kama utatunza afya yako vizuri na uka save pesa ya kukusaidia ukiwa mzee
 
Back
Top Bottom