Hivi kuna ubaya wowote mwanaume kupewa pesa na mwanamke?

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Kama mada inavyo jieleza kuna ubaya wowote mwanaume kupewa pesa za kutumia na mwanamke.
Maana napata wakati mgumu kuchukua pesa anayo nipa dem wangu ingawa napenda pesa..naogopa kutangazwa bure..
 
Kama mada inavyo jieleza kuna ubaya wowote mwanaume kupewa pesa za kutumia na mwanamke.
Maana napata wakati mgumu kuchukua pesa anayo nipa dem wangu ingawa napenda pesa..naogopa kutangazwa bure..
Ugumu unaoupata ni upi sasa?
 
Tena demu wangu akinipaga hela huwa nanunua vitu vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…