Hivi kuna uhusiano gani kati ya Pombe na Maumivu ya Mwili kupungua?

Hivi kuna uhusiano gani kati ya Pombe na Maumivu ya Mwili kupungua?

Niache Nteseke

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
2,162
Reaction score
2,616
Heshima kwenu wakuu..

Aisee, jino lilikuwa linauma jioni hii kupita maelezo, nikarudi zangu home kuna K Vanga kubwa ilibaki jana kwenye mwanamke nyonga nikasema ngoja niikate taratiiiiibu, baada ya kugonga K Vanga nashangaa maumivu ya jino yameisha kabisa wakuu.

Hivi, Kuna Uhusiano Gani Kati ya Pombe na Maumivu ya Mwili Kupungua Wakuu? Najua kuna ma-doctor wengi humu wanaweza kunipa sababu za kitaalamu kabisa kuhusiana na hii scenario wakuu.

Natanguliza shukran kwenu. Thanks.
 
Mimi nafikiri maumivu hayajapungua,
Isipokuwa mwili ume-concentrate na maumivu mengine mapya ya k- vant uliyoongeza.,yaani shida shidani

Mkuu, unaposema hayajapungua sijui unamaanisha nini ila, maumivu yalivyokuwa mwanzo na sasa ni tofauti kabisa kiongozi.

Na sijajua kuwa ni mwili ndio una-concetrate na Maumivu au akili ndio inafanya hiyo concentration kiongozi...?
 
Back
Top Bottom