Inshaallah naamini nitapata nafasi ya kuishi Ulaya mashariki ambako waislam ni wengi mno.Unazingatia dini sheikh Allah akulipe wengi hubadilika wanapohama mazingira wanayoishi na kuitelekeza dini .....ungejibanza nchi za kiarabu kule au Turkey.
Kaka,huyo shemeji yako nilishamuacha kitambo,kuwa maskini hakukatazwi as long as unapambana inaonyesha Nia ya kuuchukia umaskini,Ipo siku Mungu atakukumbuka.Tatizo Ni kuwa na mtu asiyejituma Wala kujiongeza,hapa tunatokaje sasa...Hapana hapa tunamsingizia shetani.Joanah!! nakuita tena.......weye mpende tu km alivo, ilimradi rorho yako imekufikisha hapo, umesha sema mambo flani nakufurahisha kazia hapohapo!!! iko siku akibadirika ni sifa kwako! utashangaa!! sasa utachagua chagua mpaka lini mdogo wangu??
kumbuka shetani nae yuko mawindoni kukukatisha tamaa!! Unaweza pata mchongo weye kupitia kwake na bado ukainuka mbaya ukiinuka wewe ni yeye pia ili mradi tu ulijue hili!! km ukijisahau inakula kwako.
Sometimes Mungu anakuonyesha fursa!! zilizofunikwa na ubovu!! lkn ka moyo kako kana kusukuma hapo kaza uzi hapo usilegeze!! ilimradi umempenda huyo nishetani anakutisha tu!
Mkuu nipe connection ya kuja mbele mkuu. Kila kitu lipo tatizo documentsKila siku mnakandia wabeba box afu mnakuja inbox kuuliza jinsi ya kuja kiwanja π
Hao wachache maisha yamewachapa mbona huongelei waliotoboa huko ughaibuni. Kila sehemu wapo wanaofanikiwa na wanaofeli.
Unataka kusema wote waliobaki bongo wametoboa? Mbona kila siku mnalia njaa. Tukidondoka wanyamwezi toka kiwanja ni kupigwa mizinga tu.
Wapo kibao waliotoboa nje sema wewe inaonekana circle yako ni ya waliosanda so unakutana na waliofulia wenzako, wengine tunadondoka bongo kila siku spending like there's no tomorrow na kurudi kiwanja. Tupo in the corporate world now tushapita kubeba box. Tunawekeza pia for our families ikibidi hata kuiba rasilimali maana bongo watu bado wamelala usingizi wa pono wanasubiri serikali iwafanyie kila kitu.
Nimerudi kiwanja last week toka kula vumbi bongo. Kama unataka kuja kiwanja usisite kuuliza π
Cc Nyani Ngabu
Si wote!! ni sawa na mtu kutoka Mkoa!! wengine hawatamaniga tena hata kurudi na kuishi Dar! kwa jinsi wanavo pigika ! mfano mzuri ni km binamu yangu Aloyce yeye alirudi Mkoani kwao kijijini na gari zile zinazo sindikizaga Mahiti kwa maana kuwaOoooh kesi ya huyu mtu sitoiweza....labda tu angesaidia kutuelezea kwa nini huwa warudi Kama walivyoenda?
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Wanapenda hiyo Kuna hela wanaisikilizia,utasema yake mabilioni ya Doctor Shika...R.I.PYaani hapo unawapa assuarance kwamba hela unayo sema tu kuna mission unaisikilizia,Yaani kitendo cha kusema umefika New york ni CV mama
Ni kweli,Soma Uzi tumesema wachache wanafanikiwa Ila majority wanaorudi hoi.Si wote!! ni sawa na mtu kutoka Mkoa!! wengine hawatamaniga tena hata kurudi na kuishi Dar! kwa jinsi wanavo pigika ! mfano mzuri ni km binamu yangu Aloyce yeye alirudi Mkoani kwao kijijini na gari zile zinazo sindikizaga Mahiti kwa maana kuwa
hakuwa na hela kabisaa hata Nauri ya kumrudisha home kwao...... watu km hawa wanaona Dar ni Bonge la gereza waepuke km ukoma, na wengine ndo kwaanza, wanapeta ni ile mbaya, wanasoma kirahisi na kupata kazi safi! na wanajenga mijengo ya maana.
hawa usiwapuuze jifunze kwa hawa!! Ughaibuni pia ivoivo!...kunawengine hawana bahati huko,na kuna wengine wanabahatika huko kwa kumweka Mungu mbele! wengi tu wapo wanarudiga huko kuoa/kuolewa tu!
Mifano ya wakubwa km hao ipo miiingi sana hapo Bongo mmoja wao akiwa ni january makamba huyu alirudi tu lkn alikuwa na Ulaji wa kutosha majuu.....Marwa winani, Dandu, nk
Uko sahihi! lkn nakushauri kaza uzi palee karoho kako kanapenda!! roho yako ni Mtumishi Mwaminifu haiwezi kukudanganya kamwe hii ndo siri pekee nakupa!.....ni km mie .karoho kaliniripuka nikabeba house girl kabisaaa! kutoka kwa shangazi yangu nilipokuja likizo hapo Bongo!!Ni kweli,Soma Uzi tumesema wachache wanafanikiwa Ila majority wanaorudi hoi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah sijui anajisikiaje huko alikoTatizo kakaa kifala fala Sana. Hadi wanaona aibu watamuweka wapi[emoji23]
Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
Huku afrika pia kuna matabaka na ukabila,tafuteni maisha msikatishwe tamaa na wajingaYaani unazungumzia matabaka gani, sisi tunachoangalia kule kuna kazi nyingi na fursa nyingi, malipo ni makubwa si ndio? Kukomaa kwa matabaka kunatuhusu nini, mtu kapata kazi kiwandani anagonga mzigo!
NA NIDHAMU YA ZIADA HASWAAAAA!!!!!!Katika 10 wawili...kunahitajika nguvu za ziada
Me napenda kujua watu mlioenda Huko majuu ulaya mtupe kidogo mawazo mkifika kwa mara ya kwanza hali ikoje kuhusu vyakula ? Vp gharama zikoje? , kuna mama ntilie ? Mtu anaweza kupata vyakula kama vya huku Bongo mfano maharage , mlenda , ugali n.k ?
Siku nikifika Dar , naamini pia nitafika Ulaya.
Mkuu nipe connection ya kuja mbele mkuu. Kila kitu lipo tatizo documents
Usharudi kutoka Qatar?Mkuu nipe connection ya kuja mbele mkuu. Kila kitu lipo tatizo documents
ππππππ hoiiiii. Hizo nchi si mchezo.Wanaorudi hoi bin taaban
Sasa mkuu we unadhani mtu mwenye maisha magumu Tz atakuwa na maisha mazuri akienda huko Ulaya Marekani etc?Huko mbali mnakofika wapi? Kupata ajira ya 1/2m, kununua RAV4 ya miaka 15 iliopita na kujenga Goba huko? Kila siku humu watu wanalia maisha magumu Tz leo hii mmefika mbaaali!
Unazingatia dini sheikh Allah akulipe wengi hubadilika wanapohama mazingira wanayoishi na kuitelekeza dini .....ungejibanza nchi za kiarabu kule au Turkey.