Kila siku mnakandia wabeba box afu mnakuja inbox kuuliza jinsi ya kuja kiwanja 😀
Hao wachache maisha yamewachapa mbona huongelei waliotoboa huko ughaibuni. Kila sehemu wapo wanaofanikiwa na wanaofeli.
Unataka kusema wote waliobaki bongo wametoboa? Mbona kila siku mnalia njaa. Tukidondoka wanyamwezi toka kiwanja ni kupigwa mizinga tu.
Wapo kibao waliotoboa nje sema wewe inaonekana circle yako ni ya waliosanda so unakutana na waliofulia wenzako, wengine tunadondoka bongo kila siku spending like there's no tomorrow na kurudi kiwanja. Tupo in the corporate world now tushapita kubeba box. Tunawekeza pia for our families ikibidi hata kuiba rasilimali maana bongo watu bado wamelala usingizi wa pono wanasubiri serikali iwafanyie kila kitu.
Nimerudi kiwanja last week toka kula vumbi bongo. Kama unataka kuja kiwanja usisite kuuliza 😜
Cc
Nyani Ngabu