Mada zinapwaya, suruali na vibwayaNakupongeza kwa huu uzi, maana umemuibua mentor wangu Kiranga cha Ngeda Sakala Kandubwa!
Yuko bize na watoto wa 'kitasha' mwenyewe anaita, huko NewYork marekani, haonekani kabisa JF.
Mimi hata nikipiga chafya ya ki New York, wabongo wataona nimeamka na hasira.Kiranga mbona Kama umeamka na hasira?relax mkuu.hayo maneno ya umbeya wanatupa wenzenu wanaorudi na kutupiga virungu sisi na kutumia vizungu vigumuuu ili tuwaamini 🤣🤣🤣
Sio kweli kwamba kila anaye kwenda ulaya hafanikiwi, inategemea ulienda kwa malengo gani.
Mfano mzuri ni mimi mwenyewe kabla sijaenda US nilikuwa nimeajiriwa Bongo kipato changu kilikuwa cha kawaida sana, mara baada ya kwenda huko na kukaa kwa muda usiozidi hata miaka minne maisha yangu niliyabadilisha kwa kiasi kikubwa… hivi tunavyoongea nimeweza kujenga nyumba mbili za kisasa na viwanja kadhaa mjini, nasomesha wadogo zangu shule za private nina usafiri mzuri ambao vijana wengi wa mjini wanautolea macho. Kitu nilichojifunza wengi wakifika nje hubweteka na kuiga maisha ya watu wa ulaya na kusahau walipotoka.
Kitu kingine wabongo wengi wanapokwenda nje huwa hawaendi kwa kufuata utaratibu wa nchi husika wao huwa wanajiripua mara baada ya kufika huko huwachukua muda mrefu kutafuta makaratasi ya kuwawezesha kuishi kihalali, kwa muda wote ambao wanafight kupata hayo makaratasi huishia kufanya kazi za kawaida ambazo kipato chake ni kidogo hivyo wanashindwa kufanya saving.
Sasa mkuu Nyani Ngabu miaka aliyokaa huko si angekuwa ana flats za kutosha Masaki na MikocheniNaunga mkono hoja! Ukiwa na profession ulaya rahisi kutoboa sana hasa hizo za afya malipo mazuri! Unaingiza hela nyingi kwa muda mfupi halafu hata uki convert kibongo ukiwa na. Pound 5000 tu ni hela ndefu huku na wala kwao kuipata sio kazi kama unajishughulisha!
Mbeba box kpengele huyoSasa mkuu Nyani Ngabu miaka aliyokaa huko si angekuwa ana flats za kutosha Masaki na Mikocheni
Akili yako ni ya kitumwa sanaMimi hata nikipiga chafya ya ki New York, wabongo wataona nimeamka na hasira.
Kwa sababu hawajazoea chafya ya ki New York.
Inapigwa ki agggressive aggressive mpaka anayepiga chafya anaonekana ana hasira.
Ndiyo maana mara nyingine nasoma tu.
Endelea kupiga vuvuzela hapo lumumba wenzio wanatusua maisha.Akili yako ni ya kitumwa sana
Nyani ngabuMimi hata nikipiga chafya ya ki New York, wabongo wataona nimeamka na hasira.
Kwa sababu hawajazoea chafya ya ki New York.
Inapigwa ki agggressive aggressive mpaka anayepiga chafya anaonekana ana hasira.
Ndiyo maana mara nyingine nasoma tu.
Mikwara na kijingereza chako huna lolote hapa wewe kiazi tuObviously satire is not your strongest suit.
Yoooo! Mzee baba. Going poetic like never before.Mada zinapwaya, suruali na vibwaya
Ibada za ubaya, kwa wakali wa ulaya
Ghani za Marekani, kukupeni burudani
Gani korodani ndani ya fani fanani, bara na pwani?
Huyu dada msameheni bure tu, ni mwanamke aliyejiruhusu kuwa na limited options, anachowaza yeye ni kujiuza, soma komenti yake...Ndo maana wanatetea nonsense kwa kushindwa kufikiri sawa.
Mtu aliye illogical kiasi hiki hawezi kuwa na kasi ya maisha inayohitajika kuishi na kufanikiwa ughaibuni acha abaki Chitipa tu.
Hahahahahaaaaaa. Hujui kitu ndio maana unaongea tu. Hujajibu swali langu hata moja kazi yako kudeflect. Eti viwanda. Unafikiri tupo kwenye 1960s?Utaenda kwenye hizo nchi upewe work permit ya kuwa kibarua kiwandani? Au ni ujuzi gani uliospesho sana ulionao wewe kwenye sekta ya viwanda ambayo hana mtu kwenye hio nchi au nchi za jirani?
Ndugu utaishia kujiuza.
Hujaelewa hata kilichoandikwa, sema tumwambie aandike kisukuma, anakijua..Mikwara na kijingereza chako huna lolote hapa wewe kiazi tu
Kiazi huna lolote kazi kuuza 0713 ulaya acha uchokoHujaelewa hata kilichoandikwa, sema tumwambie aandike kisukuma, anakijua..
Hapa ndio uwezo wako wa kujenga hoja ulipoishia, ndio maana ma Legends wengi wanaikacha JF, kujibishana na mtu kama wewe ni kupoteza muda ambao ni wa thamani sana, nina log out!Kiazi huna lolote kazi kuuza 0713 ulaya acha uchoko
Wabongo na Kiingereza sijui kimewakosea nini hiyo ni lugha rasmi hata serikali inaitambua kwanini mtu akiongea kiingereza huwa mnachukia?Mikwara na kijingereza chako huna lolote hapa wewe kiazi tu
Wahaya kwa misifa ya kishamba duhWabongo na Kiingereza sijui kimewakosea nini hiyo ni lugha rasmi hata serikali inaitambua kwanini mtu akiongea kiingereza huwa mnachukia?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]natamani nikuone wewe mdada[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanapenda hiyo Kuna hela wanaisikilizia,utasema yake mabilioni ya Doctor Shika...R.I.P
Hizo kazi za ndani utapata wapi muda wa kula bata?Hivi inakuaje walioenda uarabuni wanakua tofauti na walioenda ulaya,asilimia kubwa walioenda uarabuni wanawekeza sana bongo,kujenga nyumba zao n.k Hata kama alienda kufanya kazi tu za ndani akirud anakua vizur tofaut na waulaya sio wote but asilimia kubwa