Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Nakupongeza kwa huu uzi, maana umemuibua mentor wangu Kiranga cha Ngeda Sakala Kandubwa!

Yuko bize na watoto wa 'kitasha' mwenyewe anaita, huko NewYork marekani, haonekani kabisa JF.
Mada zinapwaya, suruali na vibwaya
Ibada za ubaya, kwa wakali wa ulaya
Ghani za Marekani, kukupeni burudani
Gani korodani ndani ya fani fanani, bara na pwani?
 
Kiranga mbona Kama umeamka na hasira?relax mkuu.hayo maneno ya umbeya wanatupa wenzenu wanaorudi na kutupiga virungu sisi na kutumia vizungu vigumuuu ili tuwaamini 🤣🤣🤣
Mimi hata nikipiga chafya ya ki New York, wabongo wataona nimeamka na hasira.

Kwa sababu hawajazoea chafya ya ki New York.

Inapigwa ki agggressive aggressive mpaka anayepiga chafya anaonekana ana hasira.

Ndiyo maana mara nyingine nasoma tu.
 


👏👏👏

Wale jamaa waliokua wanasema usije kiwanja wakati wao hawajafika hata Chalinze sijui wanajisikiaje sasa 🤣 🤣

Rudi mapambano yaendelee.
 
Kwani wanaijaaa wametushinda nini wao wengi wao wametoboa maana tusiseme tu eti kisa issues zao nyeusi ? Sisi majungu na unaaa wa bongo tunaupeleka majuuu.
 
Sasa mkuu Nyani Ngabu miaka aliyokaa huko si angekuwa ana flats za kutosha Masaki na Mikocheni
 
Mimi hata nikipiga chafya ya ki New York, wabongo wataona nimeamka na hasira.

Kwa sababu hawajazoea chafya ya ki New York.

Inapigwa ki agggressive aggressive mpaka anayepiga chafya anaonekana ana hasira.

Ndiyo maana mara nyingine nasoma tu.
Akili yako ni ya kitumwa sana
 
Mimi hata nikipiga chafya ya ki New York, wabongo wataona nimeamka na hasira.

Kwa sababu hawajazoea chafya ya ki New York.

Inapigwa ki agggressive aggressive mpaka anayepiga chafya anaonekana ana hasira.

Ndiyo maana mara nyingine nasoma tu.
Nyani ngabu
 
Mada zinapwaya, suruali na vibwaya
Ibada za ubaya, kwa wakali wa ulaya
Ghani za Marekani, kukupeni burudani
Gani korodani ndani ya fani fanani, bara na pwani?
Yoooo! Mzee baba. Going poetic like never before.

Fleva kama hizi tunazikosa siku hizi, JF imepoteza ladha.
 
Ndo maana wanatetea nonsense kwa kushindwa kufikiri sawa.

Mtu aliye illogical kiasi hiki hawezi kuwa na kasi ya maisha inayohitajika kuishi na kufanikiwa ughaibuni acha abaki Chitipa tu.
Huyu dada msameheni bure tu, ni mwanamke aliyejiruhusu kuwa na limited options, anachowaza yeye ni kujiuza, soma komenti yake...
 
Hivi inakuaje walioenda uarabuni wanakua tofauti na walioenda ulaya,asilimia kubwa walioenda uarabuni wanawekeza sana bongo,kujenga nyumba zao n.k Hata kama alienda kufanya kazi tu za ndani akirud anakua vizur tofaut na waulaya sio wote but asilimia kubwa
 
Hizo kazi za ndani utapata wapi muda wa kula bata?

Halafu hizo kazi za ndani ni za mikataba unajua kabisa mwaka flani ninarudi TANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…