Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Ulaya watu hawajengi nyumba wewe. Kwako kujenga nyumba ndiyo kipimo cha maendeleo. Kuna Watanzania wengi sana wanaishi KIHALALI na wana maisha mazuri sana Ulaya na Marekani na hawana mpango kabisa wa kurudi Tanzania ever!
 
jamaa ninaowafahamu wengi walizamia kwenda nje wengi walikaa south sana then kutafuta viwanja kama uk, italy ,sweden,denmark
wamefanikiwa baadhi na ni wengi wale wanaojitambua wameshusha mijengo, magari ya biashara

wawili waliofeli walitoka wavuta bangi wamerudi wanaconsume mpaka unga balaa tu wamekuwa matej na matattos kibao hawana mbele wa nyuma hawa ni wachache kuna kama wanne wametusua wameoa tena wamekuwa ni watu wa dini sana wanatoa misaada

siri hao mateja wote huku bongo kwao sio haba na waliacha shule za ghali wakenda huko wana asili wa uarabu shombe shombe nguo tu wanazo za kutosha ila saa 7 mchana jua kali unakuta wametinga
 
Ulaya watu hawajengi nyumba wewe. Kwako kujenga nyumba ndiyo kipimo cha maendeleo. Kuna Watanzania wengi sana wanaishi KIHALALI na wana maisha mazuri sana Ulaya na Marekani na hawana mpango kabisa wa kurudi Tanzania ever!
Hatuongelei kujenga nyumba ulaya wewe!acha kuparamia treni kwa mbele tulia Soma uelewe ndio urudi kutoa hoja hapa
 
Wewe exposure yako na diaspora ni failures wawili watatu wa Tangi bovu? You don't know shit. Hata Dubai inawezekana hujafika. Umekuwa disappointed na BF wako aliyekuwa anaishi Ujerumani ulitegemea angekuoa mkaishi wote Ujerumani.
 
Waliendekeza starehe,,,kongole kwa hao waliotusua
 
Wewe exposure yako na diaspora ni failures wawili watatu wa Tangi bovu? You don't know shit. Hata Dubai inawezekana hujafika.
Kwani nikifika Dubai kunaniongezea nini?nitolee unga wako hapa
 
Waliendekeza starehe,,,kongole kwa hao waliotusua
sisi mtaani kwetu machalii wengi wanaenda tatizo bangi wao kupost tu mapicha we acha wanachezea pesa wakirudi huku wako hoi ila wanaojitambua wanafika mbali sana kw kweli
 
sisi mtaani kwetu machalii wengi wanaenda tatizo bangi wao kupost tu mapicha we acha wanachezea pesa wakirudi huku wako hoi ila wanaojitambua wanafika mbali sana kw kweli
Vijana wengi wanashindwa tumia fursa vizuri...
 
Mimi diaspora nilokutana nao kwakweli wanavutia kila idara,yaani unatamani huyu angekuwa mme wako.

Yaani hao wawili nilokutana nao wacha wee sijui magari ya maana ni wao, sijui nyumba nzuri, ni wao, kwakweli siwezi wataja hapa ila mlipo silute kwenu.

Diaspora nyote ntaoaga mbinguni huku duniani hakuna wake zenu.

TATIZO WALILO NALO..........NI KUOA

diaspora popote mlipo aliyewaroga dawa aliwawekea mapenzini ili msioe. Poleni sana.
 
Mwenzio kakutana na watatu vimeo kahukumu jamii nzima!
 
Natamani nikufanye Nkumbu wa South [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…