Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Mimi mafanikio yangu yapo Afrika.

Huku nimekuja kustarehe tuu.

STAREHE yangu kuzurura, nipo hapa wiki ndio inaisha, nitakuwa mpaka march ndipo nielekee Instabul.
Hayo ndio Mambo Sasa!
 
Huko mbali mnakofika wapi? Kupata ajira ya 1/2m, kununua RAV4 ya miaka 15 iliopita na kujenga Goba huko? Kila siku humu watu wanalia maisha magumu Tz leo hii mmefika mbaaali!
Acha kufananisha mtu mwenye Rav 4 used , nyumba Goba na mtu aliyerudi na cheni,hereni ,phone na kutaka kufikia hukohuko Goba mnakodis....Ni mafuta na maji
 
Wengi wanaoponda diaspora ni wale ambao hawana vigezo/sifa za kuwawezesha kupata visa ya kwenda huko ughaibuni. Mtu anaponda diaspora utadhani anayo database ya watz woote walioko huko mfano wao mkubwa wanamtolea le mutuz. Le mutuz tu anaishi standard life kuliko wengi mnaomponda huku
Mtu amepanga vyumba viwili huko uswekeni analala na ndoo za kuogea ndani eti nayeye Yuko online anakashifu diaspora!!!!
 
Wengi wanaoponda diaspora ni wale ambao hawana vigezo/sifa za kuwawezesha kupata visa ya kwenda huko ughaibuni. Mtu anaponda diaspora utadhani anayo database ya watz woote walioko huko mfano wao mkubwa wanamtolea le mutuz. Le mutuz tu anaishi standard life kuliko wengi mnaomponda huku
Mtu amepanga vyumba viwili huko uswekeni analala na ndoo za kuogea ndani eti nayeye Yuko online anakashifu diaspora!!!!
Aaah acha basi kuponda waliopanga huwa mnaorudi hapa hata ya kumpanga hicho chumba kimoja hamna...mnaanza kujibanza humohumo kwenye ndoo za kuogea na kuchosha wadogo zenu....acha makasiriko basi au na wewe hoi huko?
 
Joanah!! nakuita tena.......weye mpende tu km alivo, ilimradi rorho yako imekufikisha hapo, umesha sema mambo flani nakufurahisha kazia hapohapo!!! iko siku akibadirika ni sifa kwako! utashangaa!! sasa utachagua chagua mpaka lini mdogo wangu??

kumbuka shetani nae yuko mawindoni kukukatisha tamaa!! Unaweza pata mchongo weye kupitia kwake na bado ukainuka mbaya ukiinuka wewe ni yeye pia ili mradi tu ulijue hili!! km ukijisahau inakula kwako.

Sometimes Mungu anakuonyesha fursa!! zilizofunikwa na ubovu!! lkn ka moyo kako kana kusukuma hapo kaza uzi hapo usilegeze!! ilimradi umempenda huyo nishetani anakutisha tu!
 
Aaah acha basi kuponda waliopanga huwa mnaorudi hapa hata ya kumpanga hicho chumba kimoja hamna...mnaanza kujibanza humohumo kwenye ndoo za kuogea na kuchosha wadogo zenu....acha makasiriko basi au na wewe hoi huko?
Hah hah Mimi Niko zangu tz hapa hapa nna ndugu jamaa na hata majirani wameenda huko ughaibuni na wamerudi wame improve Hali zao kimaisha na hata ambao bado wapo huko Naona wameweza kubadili Hali za maisha ya home kwao. Kwa hiyo unaposema 2/10 tu ndio wamefanikiwa sijui hizo data umetoa wapi? Nahisi labda wewe ni loser ndio maana circle yako unakutana na loser.(🐦 of the same fither...
 
Hah hah Mimi Niko zangu tz hapa hapa nna ndugu jamaa na hata majirani wameenda huko ughaibuni na wamerudi wame improve Hali zao kimaisha na hata ambao bado wapo huko Naona wameweza kubadili Hali za maisha ya home kwao. Kwa hiyo unaposema 2/10 tu ndio wamefanikiwa sijui hizo data umetoa wapi? Nahisi labda wewe ni loser ndio maana circle yako unakutana na loser.(🐦 of the same fither...
Ni sawa labda Mimi looser,Ila habadili ukweli kwamba hao looser wengine wametoka huko mnakotuaminisha Ni better than hapa.
 
Back
Top Bottom