Hivi kuna umuhimu gani kumtafunia mtoto chakula

Usije kuta hata wote humu tuliwahi tafuniwa chakula na kulishwa,hayo ni mapenzi ya mama kwa mtoto yaliopitiliza.
Inawezekana ni mapenzi ila ni mapenzi yasio salama kwa ulimwengu huu wa magonjwa kedekede
 
Hakuna mama msomi au mume wake msomi au anaexposure anaweza kufanya hivyo. Ni kukosa elimu na exposure.
Kuna miaka nliishi kijijini na dada angu na alikua na mtoto ila sikuwahi kuona hii kitu, nimekuja kuiona kwa wa mama wa town wenye degree.... Kazi ipo
 
You are very right madam.
 
Vyema kukwepa jambo hilo. Ikiwa bahati mbaya mtafunaji anavidonda mdomoni akiwa muathirika wa ukimwi itakuwa balaa.
Japo kitalaam virusi hapitii kwenye mate lakini vinyama toka kwenye vidondoda vinaweza kwenda na chakula na kubeba virusi
Hamna haja ya ku risk
 
Uchafu tu kumpa mtoto bacteria tena ukute wengine hunyonya papuchi au gegedo huko sikumwambukiza mtoto fungus
 
Naambiwa ni mapenzi ya mama kwa mtoto ila sio salama kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…