Hivi kuna umuhimu gani wa kuvaa chupi au boksa.

Usivae kabisa hata suruali....tembea tuu mbupu wazi chalii angu hii ni nchi huru jombaa.
 
Uyo jamaa yako anakibamia bila shaka,,,,
Mbali na kujisitiri tunavaa boksa ili umbile letu lisirukeruke tunapotembea ,,,ndo maana tunavaa zinazobanaaa bt stil yanajichoraaaaa

Halaaaa [emoji112] wote kwa rijali[emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Uyo jamaa yako anakibamia bila shaka,,,,
Mbali na kujisitiri tunavaa boksa ili umbile letu lisirukeruke tunapotembea ,,,ndo maana tunavaa zinazobanaaa bt stil yanajichoraaaaa

Halaaaa [emoji112] wote kwa rijali[emoji7] [emoji7] [emoji7]
baba hapo umenifungua ndio maana uunaambiwa , akili za kuambia changanya na zakwako.
 


Hivi vijanadume vya Dar vina shida sana, sasa unataka kumuiga au kushikishwa ukuta?
 
Nguo za ndani hasa boxer na chupi zina faida lukuki, ila wachache tu ndiyo wanazifahamu.

1. Boxer au chupi husaidia sana katika kusitiri maungo yetu. Mfano, ukivaa suruali ya jinsi INA ugumu wake. Ukizoea kuvaa, inaweza kusugua sugua mbunye au dushe na hata kufanya kuwa na sugu. Ndiyo maana nguo hizo huwa ni laini kulinganisha na nguo za nje.

2. Ukuvaa suruali yenye zipu, bahati mbaya ukakosea kufunga inakamata makuyenye na Mara nyingine kukusababishia maumivu makali sana. Yaani zipu inakamata ngozi ya Korodani au uume, maumivu yake si ya kitoto.

3. Huwezi kuvaa nguo inayokaba mwili moja kwa moja. Hivyo ukiinama au kuchuchumaa, lazima nguo ihame kidogo. Sasa zile nguo zenyewe ni nzuri kwani hazotoki kwenye mwili kiajabu. Ukivaa suruali halafu ukainama, lazima mstari wa Ikweta uonekane.

4. Boxer na chupi pia husaidia Jamaa anaposimama kwa matamanio au harakati zingine. Husaidia kuubana vema ili isionekane kiurahisi.
 
asante kwa lecture mkuu,somo lako zuri sana.
 
Hakuna umuhimu piga tubeless ni maamuzi yako
 
Kuna haja ya kujistiri banah na nguo za ndani, chukulia wadada wanao vaa jeans na vitop wakiinama ni lazima mifereji ionekane, na pia hata kwa sisi wanaume tusipo vaa boxa halikadhalika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…