Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kwani FIFA au TFF wana hati miliki ya mchezo wa mpira wa miguu?Anzisheni aina yenu ya soka muanzisheni kila kitu chenu ndio mtaona ugumu wake
Hawa walipewa na nani umonopoly huo?Haiwezekani.
FIFA walishajimilikisha Monopoly Rights za ku-manage soccer dunia nzima.
Lazima kila shirikisho liwe chini yake.
Hilo halipo,Wakuu TFF ni shirikisho la mpira wa miguu Tanzania. Shirikisho hilo linaundwa na vyamw vya mpira vya mikoa kama sikosei. Vyama vya nchi kama TFF vimeungama na kutengeneza FIFA, shirikisho la mpira wa miguu duniani.
Kwa nchi yetu, TFF wana monopoly ya kumamia mpira? Unaweza kuanzisha chama cha mpira wa miguu mbali na TFF? Vyama vya mikoa ni lazima viwe kwenye shirikisho la TFF? Mtu au watu mnaweza kuanzisha chama cha mpira wa miguu cha mkoa ambacho hakihusiani na TFF, mkafanya mambo yenu peke yenu, kuanzisha ligi zenu nk.
Hili swala la vyama vingi vya mpira wa miguu linawezekana?
Mkuu kunasheria inasema hivyo au nimambo tu jinsi yalivyo?Hilo halipo,
Duniani kuna chama kimoja tu Cha FIFA, so kila nchi kutakua na chama kimoja tu chini ya FIFA.
Sijajua km mtu unaeza kuanzisha chama chako cha mpira km ilivyo siasa
Wahuni tu waliamua kijimilikisha. Mbona kwenye ngumi kuna WBO, WBF, IBO, IBF, etc?? Halafu cha ajabu hawa FIFA yaan wao ukiacha na sheria za kawaida za nchi husika hawabanwi na yoyoteMkuu kunasheria inasema hivyo au nimambo tu jinsi yalivyo?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app