Hivi kuna wa Madem wa kibongo uswazi Age ya 18-35 wanatembea na Programing code.Au hata book readers.

Hivi kuna wa Madem wa kibongo uswazi Age ya 18-35 wanatembea na Programing code.Au hata book readers.

Huku uswazi hatutaki vitu viwe complicated hivyoo, tunatembea na charger tu za kuchagia Infinix na Tecno zetuu
 
MTU hajasoma Masha magumu simu kahongwa ili atumie kujiuza telegram na biashara imedoda we mambo hayo sio rahis ayajue.
 
My first born girl aged 12 years, form 1 is improving in coding daily. Ndio sababu imenifanya nisimpeleke boarding.
Kila weekend yuko darasan programming.
 
Back
Top Bottom