Kitu Cha 700000012 hicho[emoji3]
Navyokujua huwezi kuwa mpole kitu Cha .............13 hicho😂Basi ngoja nikuwe mpole
Tupo.Habari wakuu!
Baada ya kusoma threads tofautitouti hatimae limenijia hili swali
Hiv jamiiforums kuna wachamungu humu?View attachment 1886529
Thread closed, wacha Mungu wapo..Yeah, Ila Mungu ndo anajua zaid
Mtoa maada kitu gani umekiona hapa jf cha ajabu sana mpaka ukawaza hivyo.Habari wakuu!
Baada ya kusoma threads tofautitouti hatimae limenijia hili swali
Hiv jamiiforums kuna wachamungu humu?View attachment 1886529
Tupo ila pole wewe inaonesha humchi Mungu,badilika leoHabari wakuu!
Baada ya kusoma threads tofautitouti hatimae limenijia hili swali
Hiv jamiiforums kuna wachamungu humu?View attachment 1886529
Ya ucha MunguMashaka yanatoka wapi mkuu[emoji28]
Kwani kasema darasa ndefu hawezi kuelewa?Ni darasa refu mkuu kukuelewesha