Ahaa kumbe, NAWATAFUNA hilo jina kumbe hamaanishi kitu.Fene Kwani hajui kama NAWATAFUNA ni mmoja wao
Kwanini mkuu?Bac itakuwa katika mijadala munajificha ANKO JEI
Ni darasa refu mkuu kukuelewesha
Ni darasa refu mkuu kukuelewesha
Ukitaka kuelewa utaelewa!! Ukitaka kufahamu utafahamu!!Ahaa kumbe, kwani hofu ya Mungu na ucha Mungu ni kitu kimoja?
Ulipo ww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu upo wap kati ya hao?
Ndio chanzo cha maarifa mkuu 😬Kumcha Mungu ndio nini ??!
Ahsante sana mkuuUkitaka kuelewa utaelewa!! Ukitaka kufahamu utafahamu!!
Yes Ni mambo mwili tofauti:-
Hofu ya Mungu ni "Khoufu 'LLah" yaani hukosei maamrisho yake (Mwnyz Mungu) na kutii sheria.
Ucha Mungu ni "Matendo mema kwa ajili yake yanayo mridhisha Mwenyeezi Mungu" (bila kumshirikisha Muumba au RIAA )
In short tunaita Taqwa
Hongera Amehlo, kama ni kweli
Navyokujua huwezi kuwa mpole kitu Cha .............13 hicho[emoji23]