Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Kiranga atakuja kukwamia umtibitishie kama kweli Mungu yupo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo mkuu ni miongoni mwaoMkuu wewe sio?
Wacha Mungu wamo
Walevi,wazinzi na waasherati wamo
Matajiri,makapuku na masikini wenye nafuu wamo
Matapeli wamo
Wachawi wamo
Hata bi mkubwa yumo[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Kazi ya Marie an Jen Haina kishungi, tatizo ni hilo.Nipo hapa.Greetings in the name of most highJah rastafarian, ever living, ever faithful,ever sure.The konkalini lion of Judah,blesssssss.
usijaliMuwe munaleta basi siku mojamoja mada zenye kumkumbuka Mungu
i can't promise you but worry notPromise
Kama hata kwenye madanguro hua kunawachamungu kwa nini JF ikose wapo wengi tu kama akina Mshana JrHabari wakuu!
Baada ya kusoma threads tofautitouti hatimae limenijia hili swali
Hivi JamiiForums kuna wachamungu humu?
View attachment 1886529
Karucee twende tukawazodoe bhn[emoji1787][emoji1787]Wapo ila sasa kama unavyojua ndugu yangu kwenye msafara wa mamba na kenge wapo.
Na hawa kenge ndo wengi.
Nikiwataja watanipopoa nenda kwenye sredi za ufuska utawaona.
Ukawaombee lakini sio ukawazodoe.