ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tuanzie kwako wewe umezaliwa wapi na upo wapi ?Nimekuwa najiuliza hili swali.maana me naamini sisi sote tunaishi mijini hasa majiji dar na labda katika miji mikuu ya mikoa.kwa kuangalia threads za wengi naona wengi wajanja wote Wana misemo ya kimjini mjini.sifikirii Kama Kuna yoyote ambaye yupo ndani ndani bush kabisa.
Asante tena nirekebishe kabla ya talakaRombo-Mamsera na sio mamseri
Ukweni nini??
Sawa mh mjumbe tukutane pale Pub tupongezane kwa kinywajiMimi naishi huku Ushirombo, Kata ya Katente, tarafa cha Lyambamgongo, kijiji cha Nzela
Sawa ndugu mjumbe, ndio najisogeza pale Kilimani.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Sawa mh mjumbe tukutane pale Pub tupongezane kwa kinywaji