atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Sasa unajiita dada pretty huyo mmarangu ulimuonjaje[emoji848][emoji849]Wachaga hawana mahaba kujifanya wapo busy kuwaza pesa hadi kitandani. Tena usiwe mmachame au Mkibosho ndio tatizo kabisa ila nilionja Mmarangu ana huba ila tapeli. Sijaongelea kabila zima ila niliokutana nao