Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Huu Uzi Uko ki home home sio international kwahiyo hao watoeWenye maji ongezea iwe Wahaya,Wanyambo,Watutsi,Wahutu,Wahima na Wanyankole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Uzi Uko ki home home sio international kwahiyo hao watoeWenye maji ongezea iwe Wahaya,Wanyambo,Watutsi,Wahutu,Wahima na Wanyankole
Shida ya wasukuma no wachafu asilimia kubwaWasukuma ni kiboko ya wote. Ukijaribu hutoki.
Hao wamakonde wa wapi ulokutana nao?Ni kweli kabisa aisee!
Yaani sijui Kwanini?!
Anaweza kuliwa na Mwanaume yeyote popote pale!
Halafu hawatuliagi nyumbani!
Wanakilanga hatari!
Mbona mmakonde Mie nna bachelor? Kuhusu suala la elimu Kwa mtoto wa kike huwezi kusema Wamakonde tu ndo hawafiki elimu ya juu, ni tatizo la makabila yote ya ukanda wa Pwani, hayajawahi kuweka msisitizo kumsomesha mtoto wa kike, ni ukue uolewe.
Hapana bwana, huwa tunafunzwa, wala sio kuanza mapema.
Kwani makabila mengine hayaanzi mapema?
Nilikua mnyonge kwanini sioni tukitajwaBaada ya kufanya kauchunguzi kadogo, nimegundua tutamaliza kutaja makabila lakini mwisho wa siku kuna watu wanazaliwa na maufundi yao. Na wanatokea makabila tofauti. Sema sasa ukutane na mtu kazaliwa na ufundi wake kwenye moja ya makabila yenye mautundu hapo ndio utaomba poo utakapo kutana na aina ya iko kiumbe. Yote kwa yote hongera sana mhehe wangu nashukuru tupo pamoja na umeshakuwa mke rasmi wa try 6825.
Makabila yote ya Pwani elimu Kwa mtoto wa kike haijawahi kuwa kipaumbele Hadi Leo.Kwanini mkazo usiwe masomoni mfike mbali badala ya mafunzo ya ngono?
Wapo kaka, nilikutana na mkurya mmoja, acha kabisa kaka, nilimgomea kabisa kuwa hatoki huko.Wakurya nawapendea wamotoo na lainiii sema kwenye uno sijaona bado kama la mmakonde hasa akianza kuuma meno yake😁😁
Hao wamakonde wa wapi ulokutana nao?
Nime wa mention wale kama wamakonde sio kama wasio na elimu....Mbona mmakonde Mie nna bachelor? Kuhusu suala la elimu Kwa mtoto wa kike huwezi kusema Wamakonde tu ndo hawafiki elimu ya juu, ni tatizo la makabila yote ya ukanda wa Pwani, hayajawahi kuweka msisitizo kumsomesha mtoto wa kike, ni ukue uolewe.
Hahaha me mmakua bwana sio mmakonde
Mbona mmakonde Mie nna bachelor? Kuhusu suala la elimu Kwa mtoto wa kike huwezi kusema Wamakonde tu ndo hawafiki elimu ya juu, ni tatizo la makabila yote ya ukanda wa Pwani, hayajawahi kuweka msisitizo kumsomesha mtoto wa kike, ni ukue uolewe.
Elimu tunazo za kutosha tu asiogopeeNime wa mention wale kama wamakonde sio kama wasio na elimu....
Binafsi nawaheshimu hao wote na sikua na lengo baya.
🤣🤣🤣 Kwa utafiti gani?Inajulikana hivyo,
Tena wanaume wenyewe wa kimakonde watakuthibitishia.
Ilo mixer ndio limekuharibu akili....mpare janjajanja sana kwenye dili ya hela.Hahaha me mmakua bwana sio mmakonde
Halafu nikapigwa mixer la nguvu
Kitabia sijachukua huko kabisaaaIlo mixer ndio limekuharibu akili....mpare janjajanja sana kwenye dili ya hela.
Mbona kwenye maandishi una ukaskazini mwingi.Kitabia sijachukua huko kabisaaa
Me kitabia nimebaki kusini
Pwani ni matrilineal, huku hatung'ang'anii ndoa.....mtu akizingua unasepa, mtaji kiuno na unacho unamng'ania mwanaume Ili akuue?Na ndiko kunaongoza kwa takwimu za talaka kuwa juu.