Hivi kuna wanawake wajuzi kitandani na watamu kama wamakonde?

Hivi kuna wanawake wajuzi kitandani na watamu kama wamakonde?

Baada ya kufanya kauchunguzi kadogo, nimegundua tutamaliza kutaja makabila lakini mwisho wa siku kuna watu wanazaliwa na maufundi yao. Na wanatokea makabila tofauti. Sema sasa ukutane na mtu kazaliwa na ufundi wake kwenye moja ya makabila yenye mautundu hapo ndio utaomba poo utakapo kutana na aina ya iko kiumbe. Yote kwa yote hongera sana mhehe wangu nashukuru tupo pamoja na umeshakuwa mke rasmi wa try 6825.
 
Baada ya kufanya kauchunguzi kadogo, nimegundua tutamaliza kutaja makabila lakini mwisho wa siku kuna watu wanazaliwa na maufundi yao. Na wanatokea makabila tofauti. Sema sasa ukutane na mtu kazaliwa na ufundi wake kwenye moja ya makabila yenye mautundu hapo ndio utaomba poo utakapo kutana na aina ya iko kiumbe. Yote kwa yote hongera sana mhehe wangu nashukuru tupo pamoja na umeshakuwa mke rasmi wa try 6825.
Nilikua mnyonge kwanini sioni tukitajwa
Mhehe mwenzangu ametuwakilisha vizuri
 
Kwanini mkazo usiwe masomoni mfike mbali badala ya mafunzo ya ngono?
Makabila yote ya Pwani elimu Kwa mtoto wa kike haijawahi kuwa kipaumbele Hadi Leo.
Toka kale ngono ni suala muhimu, kupitia hiyo ndo kizazi kinaongezeka....Kwa Mila zetu wakaona tuongeze utundu.
Unadhani Kati ya elimu na ngono ipi ni basic need🤣
 
Mbona mmakonde Mie nna bachelor? Kuhusu suala la elimu Kwa mtoto wa kike huwezi kusema Wamakonde tu ndo hawafiki elimu ya juu, ni tatizo la makabila yote ya ukanda wa Pwani, hayajawahi kuweka msisitizo kumsomesha mtoto wa kike, ni ukue uolewe.
Nime wa mention wale kama wamakonde sio kama wasio na elimu....
Binafsi nawaheshimu hao wote na sikua na lengo baya.
 
Mbona mmakonde Mie nna bachelor? Kuhusu suala la elimu Kwa mtoto wa kike huwezi kusema Wamakonde tu ndo hawafiki elimu ya juu, ni tatizo la makabila yote ya ukanda wa Pwani, hayajawahi kuweka msisitizo kumsomesha mtoto wa kike, ni ukue uolewe.



Na ndiko kunaongoza kwa takwimu za talaka kuwa juu.
 
Back
Top Bottom