Hivi kuna watoto wa kishua ambao wapo JF?

Hivi kuna watoto wa kishua ambao wapo JF?

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........

hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi
 
baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........

hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi
Wapo,niwataje?
 
baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........

hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi
Kama wapo basi wale ambao ni obese na wako secluded na society hivyo chimbo lao ni jf kujiliwaza.
 
MIMI BINAFSI NDIO MSHUA MWENYEWE, labda wanangu ndio watoto wa kishua
 
baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........

hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi
59894.jpg

Wapo kimya.
 
Back
Top Bottom