Hivi kuna watu hawajawahi kweli kupigwa BAN toka waanze kutumia jf?

Mimi nina miaka 9 hapa sijawahi kupigwa BAN
 
Ban ndio nini?
 
Kwani ukipigwa BAN watakulipa Fidia kiasi gani [emoji23][emoji23]
 
Nilichogundua mara nyingi ban huwa ziko jukwaa la siasa kwa wale wanaotukana viongoz lakin majukwaa mengine si rahis mtu kupigwa ban

Mimi nimekula ban nying sana maxee maana huwa sipend ungese ukizingua tunazinguana kwel
 
Ban ni kitu kinachomkuta mtu asieweza zuia mihemko, hisia na kughafirika kwake. Sijawahi wala sitegemei.
 

Nipo hapa
 
Kutopigwa ban ni sawa na kutokwenda jando, lazima utambue upande wa pili wa JF kwa kula kifungo, kuna funzo kubwa sana kwenye ban
 
Kutopigwa ban ni sawa na kutokwenda jando, lazima utambue upande wa pili wa JF kwa kula kifungo, kuna funzo kubwa sana kwenye ban
Bado nawaza uliandika kitu gan hadi ukala BAN

Mbona haufanani na waropokaji wanaokula ban kila uchwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…