Hivi kunaaliyewahi kujaribu hii

10Shoka14

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
305
Reaction score
122
Niliwahi kusikia toka kwa Waziri wa Wizara ya Biashara na Uwezeshaji(Mh.Mary Nagu) kwamba graduates wanaweza kupewa mitaji iwapo watajiunga ktk vikundi na kuwa na plan za kufanya biashara flani na Serikali inawadhamini.Kuna yeyote aliyewahi kufanyia kazi hiki kitu halafu labda akafanikiwa au alikwama,tusaidiane kwa mwenye uzoefu wa hili.Nawasilisha
 
Inawezekana alisema kipindi cha kampeni. Mbona harudii tena?
 

hilo changa tu,na mabilion ya kikwete yaliwafikia walengwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…