Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kila anayefuga chawa ni mchafu.
Pia, chawa ni wachafu.
Kila mfuga chawa ni dhaifu.
Chawa ni dhaifu.
Ili kufuga chawa, lazima uwe mchafu na mwenye damu ya kutosha.
Unaipata wapi damu ya kuwanyonyesha chawa bila kunyonya?
Kuna kipindi mnyonywaji anaweza kuwa mnyonyaji.
Chawa na mfuga chawa, wote hawafai.
Kama wanafaa, wanafaa kuteketezwa ili kutosambaza magonjwa.
Chawa ni hatari.
Anayewavumilia pia ni hatari.
Tuachie hapa leo.
Pia, chawa ni wachafu.
Kila mfuga chawa ni dhaifu.
Chawa ni dhaifu.
Ili kufuga chawa, lazima uwe mchafu na mwenye damu ya kutosha.
Unaipata wapi damu ya kuwanyonyesha chawa bila kunyonya?
Kuna kipindi mnyonywaji anaweza kuwa mnyonyaji.
Chawa na mfuga chawa, wote hawafai.
Kama wanafaa, wanafaa kuteketezwa ili kutosambaza magonjwa.
Chawa ni hatari.
Anayewavumilia pia ni hatari.
Tuachie hapa leo.