Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kila anayefuga chawa ni mchafu.
Pia, chawa ni wachafu.
Kila mfuga chawa ni dhaifu.
Chawa ni dhaifu.
Ili kufuga chawa, lazima uwe mchafu na mwenye damu ya kutosha.
Unaipata wapi damu ya kuwanyonyesha chawa bila kunyonya?
Kuna kipindi mnyonywaji anaweza kuwa mnyonyaji.
Chawa na mfuga chawa, wote hawafai.
Kama wanafaa, wanafaa kuteketezwa ili kutosambaza magonjwa.
Chawa ni hatari.
Anayewavumilia pia ni hatari.
Tuachie hapa leo.
Duh...!Kila anayefuga chawa ni mchafu.
Pia, chawa ni wachafu.
Kila mfuga chawa ni dhaifu.
Chawa ni dhaifu.
Ili kufuga chawa, lazima uwe mchafu na mwenye damu ya kutosha.
Unaipata wapi damu ya kuwanyonyesha chawa bila kunyonya?
Kuna kipindi mnyonywaji anaweza kuwa mnyonyaji.
Chawa na mfuga chawa, wote hawafai.
Kama wanafaa, wanafaa kuteketezwa ili kutosambaza magonjwa.
Chawa ni hatari.
Anayewavumilia pia ni hatari.
Tuachie hapa leo.
Mwanangu Pasko, habari za Washington na Drumpff?Duh...!
P
Chawa Mbadi , Lucas Mwashambwa, ChawaWaMama , chawa wa mama, Malaria 2 TlaatlaahKila anayefuga chawa ni mchafu.
Pia, chawa ni wachafu.
Kila mfuga chawa ni dhaifu.
Chawa ni dhaifu.
Ili kufuga chawa, lazima uwe mchafu na mwenye damu ya kutosha.
Unaipata wapi damu ya kuwanyonyesha chawa bila kunyonya?
Kuna kipindi mnyonywaji anaweza kuwa mnyonyaji.
Chawa na mfuga chawa, wote hawafai.
Kama wanafaa, wanafaa kuteketezwa ili kutosambaza magonjwa.
Chawa ni hatari.
Anayewavumilia pia ni hatari.
Tuachie hapa leo.
Poa, niliisha rejea BongoMwanangu Pasko, habari za Washington na Drumpff?
Karibu Bongo UKPoa, niliisha rejea Bongo
P
eti hiyo ndiyo first class brain ya chama cha walalamikaji na wapiga mdomo nchini, kinajadili mambo ya maana saaana kuhusu mahitaji ya wanainchi kijamii, kiuchumi, kisiasa, Kitaifa na kimataifa kwa maslahi ya wenzake na chama chake,