King shark
Member
- Aug 4, 2019
- 31
- 17
Nyoa kipara upate uwezo wa kuandika vizuri.
hahaha haha habari picha sio! !!
Acha kuwasikiliza, ishi maisha yako bro
Nyoa kiduku uone kama kuna paka atakusumbua
sio mbaya ,,usiwasikilize watu,fanya yako...
Kila mtu na fani yake mkuuWenzake Wanafuga Kuku Wale Nyama, Yeye Anafuga Ndevu