Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angesema tofauti na unavotaka wewe asingekuwa sahihi! Nadhani hata tukikushauri tofauti na unavoamini na hata ikionekana tupo sahihi huto uchukua ushauri wetu kwa sababu umekuja kuomba ushauri ilihali ulishafanya maamuzi ya kuendelea na mnyoo wako haya kaza na huo mnyoo upo sahihi kabisa!Thank you bro,u spoke right
😂😂😂😂😂😂sio mbaya ,,usiwasikilize watu,fanya yako...
![]()