Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Kuna picha za kigiriki niliona kwenye mitandao ya kijamii kuna aina zote za kufanya mapenzi kwa lugha ya picha na kuna sehemu kwenye jumba la kale kulikutwa kifaa kinachofanana na sehemu ya siri ya mwanaume ambacho wanawake walitumia kukidhi haja zao kwa hyo hayo mambo yalikuwepo tokea zamani mkuu.
 
Hayo yote ni machukizo kwa Mungu, na kila mwanamke anayenyonya uume na mwanaume yeyote anayonya uke wa mwanamke, hataingia mbinguni sehemu yake ni moto wa jehamnum!
Kutupangia hivo vipi? Hiyo pepo uliiumba wewe hadi uchague wa kuingia? 🤣🤣🤣 Uchoyo tu hadi kwenye vitu viso vyako🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom