Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Wenye ujuzi mnisaidie kuelewa hii kitu jamani. Ni nini historia yake? Ilikuaje yaani? Mbona imekuwa shida hivi?

Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.

Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.

Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.

Nini chanzo na nani muanzilishi?
Muulize NALIA NGWENA
 
Kwa asilimia kubwa romance ya kunyonyana imechangiwa na filamu za kikubwa (X).

Baadhi ya Wanaume tuliopitia mafunzo ya jandoni miaka ile ya giza, mtakumbuka hatukuwahi kufundishwa kunyonyana (Kama yupo aje aseme hapa) ila tulifundishwa romance ya kawaida ya kumuandaa Mwanamke kabla hujamwingilia.

Hii mambo ya kunyonyana nina uhakika picha za X zimechangia pakubwa japo ndiyo mtindo Wanawake wanaupenda na baadhi hufika mshindo kwa njia hii kabla hata hujaingiza mtalimbo.
 
Kwa asilimia kubwa romance ya kunyonyana imechangiwa na filamu za kikubwa (X).

Baadhi ya Wanaume tuliopitia mafunzo ya jandoni miaka ile ya giza, mtakumbuka hatukuwahi kufundishwa kunyonyana (Kama yupo aje aseme hapa) ila tulifundishwa romance ya kawaida ya kumuandaa Mwanamke kabla hujamwingilia.

Hii mambo ya kunyonyana nina uhakika picha za X zimechangia pakubwa japo ndiyo mtindo Wanawake wanaupenda na baadhi hufika mshindo kwa njia hii kabla hata hujaingiza mtalimbo.
Kumbe mnafundishwa? Mweee
 
Wenye ujuzi mnisaidie kuelewa hii kitu jamani. Ni nini historia yake? Ilikuaje yaani? Mbona imekuwa shida hivi?

Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.

Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.

Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.

Nini chanzo na nani muanzilishi?
20200415_101521.jpg

Screenshot_20231013_220156_Chrome.jpg


 
Wenye ujuzi mnisaidie kuelewa hii kitu jamani. Ni nini historia yake? Ilikuaje yaani? Mbona imekuwa shida hivi?

Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.

Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.

Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.

Nini chanzo na nani muanzilishi?
ok sawa,
majibu check chini hapo
 
Back
Top Bottom