Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Watu wamejifunza huko kwenye video ,Hakuna sehemu nyingine,msijitoe Akili .....huko kwenye hizo website zina viewers WA kutosha means watu wanashinda huko kutazama [emoji23][emoji23]
Ameuliza wanadamu tumejuaje... au kwenye video hao ni kenge.... hao hao unaowaona wewe kwenye video ndio anauliza waligunduaje gunduaje

Sent from my Redmi 8 using JamiiForums mobile app
 
Thubutuuuuu!! Wewe unaonekana hakuna kuombana ni mwendo wa chagua bega πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana siwezi fanya hivyo, burudani itakosekana, nitakosa SEPALI na PETALI.
itafika hatua utaomba kula koni, nitaoata mawazo asije akaning'ata huyu kulipiza kisasi, nikapaki na kipisi tu cha kukojolea.🀣🀣
 
Wenye ujuzi mnisaidie kuelewa hii kitu jamani. Ni nini historia yake? Ilikuaje yaani? Mbona imekuwa shida hivi?

Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.

Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.

Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.

Nini chanzo na nani muanzilishi?
Kuna mtaalamu wa afya alisema mchezo huo ni mbaya sana kwakuwa unasababisha kansa ya koo na hasa kwa wanawake
 
Ni tabia mbaya! Uke una wadudu maalumu wa kulinda hiyo sehemu, kitendo cha kunyonya unawaingiza kwenye mdomo. Mdomo utakuwa mwekundu kama kaa la moto, utafikiria ni fungus, kumbe ni wale wadudu. Acheni hizo!!!

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mbona wale wadudu hawaingiagi kwenye uume wakati wa kuf**k
 
Back
Top Bottom