Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
The side effects are not as instant as you might think. It usually fires back as age goes by.Ingekuaga hivyo watu wangekua wote wameisha duniani.
Nyinyi ndio zamani mlikuaga mkiona gari kijijini mnakimbia na kusema mmevamiwa na MANYONYA DAMU ☺️😊
Ndio mkuu.....Dodoki ni jadi yangu mkuu, nimeshaizoea.
Ok ntajaribu kuzifuatilia,,Ni nzurii kuogea Zina rich of vitamin..unaoga unatakata na ngozi inakua muruaa
Ni nzurii zitafute utazipata pharmacy au maduka ya cosmetics Zina range bei 7500 mpaka 10000
Unaweka kwenye dodoki au mtego ama kujipaka zeni una jimwagia maji au una fungulia bomba la mvuaa
Hahaaa unakuwaga kama tangoMdodoki upoje😁😁
Mimi hapana kwakweli.Wadada wengi huwa wanatumia tu kufuli mchezo unakua umeisha .
Unaoga na nini wew😆Mimi hapana kwakweli.
Unakuwa Muoga.Ukishaoga ndio unakuwaje sasa
Naomba unitumie huku nambunjuView attachment 3178641
View attachment 3178642
Hizi sabuni ni nzurii sanaa ambae hajawai kuzitumia aanze kuzitumia..
Nimeshaanza kushindwa kula, kisa wewe mama mchunga.Naomba unitumie huku nambunju
Dodoki la mzungu.Unaoga na nini wew😆
Unayo pesa ya mchezo ndio maana🤣🤣🤣🤣🤣Dodoki la mzungu.
Nimekufanyia nin mtoto wa watu mpaka ushindwe kulaNimeshaanza kushindwa kula, kisa wewe mama mchunga.
Labda niongezeSio lazima wala sio muhimu sana japo inategemea na sabuni unayotumia, mara ngapi unaoga kwa siku, kazi unazofanya kwa siku na hali ya maji unayoogea. Pia kuna kingine aina ya ngozi uliyonayo, aina ya mafuta unayopaka mwili, aina ya marashi unayotumia na msosi unaokula mara kwa mara.
Yote haya ni muhimu kuzingatia
Wachafu wa Mwili wengi ni Smart Kichwani, Hata research zinaonesha Mostly Genious hawakuwa na Usafi externallyMtu yeyote asiye oga huyo ni mchafu wa mwili na akili
😁😁😁😁 upo wap nowNimekufanyia nin mtoto wa watu mpaka ushindwe kula