Hivi kuoga ni lazima ujisugue na madodoki ? au ni kwasisi maskini tu na wazee wa kazi ngumu

Ok ntajaribu kuzifuatilia,,
 
Tusipangiane maisha kila mutu aoge atakavyo cha.msingi maji yaguse tu mwili
 
Labda niongeze

Na Ofisi unayofanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…