Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliyeanzisha Uzi tayari katisha sana.Umemtongoza mwanamke amekukataa, kutokana na sababu anazojua mwenyewe. Ukaamua kupotezea.
Siku kadhaa mbeleni anakuja anakutafuta anakwambia kuwa ana shida ya kiasi cha fedha umsaidie!!
Hii inamaanisha Nini??
(a) Anataka kukutumia tuu?
(b) Anakupima tuu?
(c) Anakutaka?
(d) Anajiona A T M?
(e) Hana maana yeyote?
(f)........... Au?
NININI HUKU YAKE?
1. Umpe pesa ?
2. Umkopeshe?
3. Usimpe?
4. Umpe na umuombe tena kifuu tundu / papuchi?
Uzi tayari.
MAJIBU TAFADHALI.
mzee wa kasumba
Tulipeana namba, nikamtongoza akakataa.
Nikafuta namba yake kabisa, baada ya mwezi 1 akanipigia kuwa amenimis na shida kibao! Nikamwambia njoo tule maisha akanambia tuma nauli nikatuma tukakaa 3 days naye.
Kuna vitu vingine jiongeze mtoto wa kiumeni. Mbona huo ni ushindi tosha! Unakwama wapi?
Wakati mwingine ke hawezi kujirahisisha kwa kila mwanaume!
Au umesubiria akwambie sasa nimekukubali!?
Kumaamakeeeee duhMi kuna kamoja kalinirusha , nikapiga sound weee ,huku kanakuja kupata ushauri wa mambo nikaona huyu ananifanya ndezi kikabadili reception lkn baadae kakaniambia ujue nakuLove kinyama ila niko HIV+ naogopa isije kupasuka rubber nikakuua.
Kuanzia hapo mimi ni ATM yake namsindikiza kuchukua vocha anaongeza bundle mbele yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu linaweza kuwa ni au....
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nikiombwa hela first time nasepa sigeuki nyuma hata awe mzuri vipi. Hiyo ndo kanuni niliyojiwekea.Umemtongoza mwanamke amekukataa, kutokana na sababu anazojua mwenyewe. Ukaamua kupotezea.
Siku kadhaa mbeleni anakuja anakutafuta anakwambia kuwa ana shida ya kiasi cha fedha umsaidie!!
Hii inamaanisha Nini??
(a) Anataka kukutumia tuu?
(b) Anakupima tuu?
(c) Anakutaka?
(d) Anajiona A T M?
(e) Hana maana yeyote?
(f)........... Au?
NININI HUKU YAKE?
1. Umpe pesa ?
2. Umkopeshe?
3. Usimpe?
4. Umpe na umuombe tena kifuu tundu / papuchi?
Uzi tayari.
MAJIBU TAFADHALI.
mzee wa kasumba
Mkuu mtu alikukataa namba zake zinafanya nini kwa simu yako? Piga blok piga reject list piga sparm delete
Usifanye hivyo mkuu, sisi binaadam hatutabiriki, anaweza kukufaa kwa jambo jingine.!!Mkuu mtu alikukataa namba zake zinafanya nini kwa simu yako? Piga blok piga reject list piga sparm delete