Hivi kuombwa pesa na mwanamke aliyekukataa ina maana gani?

Hivi kuombwa pesa na mwanamke aliyekukataa ina maana gani?

Tulipeana namba, nikamtongoza akakataa.
Nikafuta namba yake kabisa, baada ya mwezi 1 akanipigia kuwa amenimis na shida kibao! Nikamwambia njoo tule maisha akanambia tuma nauli nikatuma tukakaa 3 days naye.

Kuna vitu vingine jiongeze mtoto wa kiumeni. Mbona huo ni ushindi tosha! Unakwama wapi?
Wakati mwingine ke hawezi kujirahisisha kwa kila mwanaume!

Au umesubiria akwambie sasa nimekukubali!?
 
Umemtongoza mwanamke amekukataa, kutokana na sababu anazojua mwenyewe. Ukaamua kupotezea.

Siku kadhaa mbeleni anakuja anakutafuta anakwambia kuwa ana shida ya kiasi cha fedha umsaidie!!

Hii inamaanisha Nini??

(a) Anataka kukutumia tuu?
(b) Anakupima tuu?
(c) Anakutaka?
(d) Anajiona A T M?
(e) Hana maana yeyote?
(f)........... Au?


NININI HUKU YAKE?

1. Umpe pesa ?
2. Umkopeshe?
3. Usimpe?
4. Umpe na umuombe tena kifuu tundu / papuchi?

Uzi tayari.
MAJIBU TAFADHALI.

mzee wa kasumba
Huyu aliyeanzisha Uzi tayari katisha sana.
Haya tumesoma tiyari
 
Acha ubahir mpe anachohitaji na ww utapewa ulichokuwa unataka huo ni mwanzo mzur wa safar ya kulana.. Au kugegedana.
 
Nmeipenda hii ndo tabia yako hata kama anataka sio rahis kusema kwa uwazi ila anatimia vitu vidogo vidogo kama hivi.. Mpaka hapo kashakubali kwa 80% kilichobaki ni ww tu kumalizia hizo 20% pia huwa wanakuwa wagumu kikubali mapema kukataa kuonekana ni magarage ya mbeya maji mara 1 kwa iyo mwanamke au msichana kukataa kwa mara ya 1 unapomtongoza ni kawaida ili kulinda brand yake nk.. Kinachitakiwa ni ww men kutokata tamaa wla kufa moyo tongoza tena na tena jisahaulishe hata baada ya miezi kadhaa hata mwaka kisha mwambie mimi nakuelewa toka kwa sakafu la moyo wangu hivo sio rahis kukataa tamaa.
Tulipeana namba, nikamtongoza akakataa.
Nikafuta namba yake kabisa, baada ya mwezi 1 akanipigia kuwa amenimis na shida kibao! Nikamwambia njoo tule maisha akanambia tuma nauli nikatuma tukakaa 3 days naye.

Kuna vitu vingine jiongeze mtoto wa kiumeni. Mbona huo ni ushindi tosha! Unakwama wapi?
Wakati mwingine ke hawezi kujirahisisha kwa kila mwanaume!

Au umesubiria akwambie sasa nimekukubali!?
 
Mi kuna kamoja kalinirusha , nikapiga sound weee ,huku kanakuja kupata ushauri wa mambo nikaona huyu ananifanya ndezi kikabadili reception lkn baadae kakaniambia ujue nakuLove kinyama ila niko HIV+ naogopa isije kupasuka rubber nikakuua.
Kuanzia hapo mimi ni ATM yake namsindikiza kuchukua vocha anaongeza bundle mbele yangu
 
Mi kuna kamoja kalinirusha , nikapiga sound weee ,huku kanakuja kupata ushauri wa mambo nikaona huyu ananifanya ndezi kikabadili reception lkn baadae kakaniambia ujue nakuLove kinyama ila niko HIV+ naogopa isije kupasuka rubber nikakuua.
Kuanzia hapo mimi ni ATM yake namsindikiza kuchukua vocha anaongeza bundle mbele yangu
Kumaamakeeeee duh
 
Umemtongoza mwanamke amekukataa, kutokana na sababu anazojua mwenyewe. Ukaamua kupotezea.

Siku kadhaa mbeleni anakuja anakutafuta anakwambia kuwa ana shida ya kiasi cha fedha umsaidie!!

Hii inamaanisha Nini??

(a) Anataka kukutumia tuu?
(b) Anakupima tuu?
(c) Anakutaka?
(d) Anajiona A T M?
(e) Hana maana yeyote?
(f)........... Au?


NININI HUKU YAKE?

1. Umpe pesa ?
2. Umkopeshe?
3. Usimpe?
4. Umpe na umuombe tena kifuu tundu / papuchi?

Uzi tayari.
MAJIBU TAFADHALI.

mzee wa kasumba
Mimi nikiombwa hela first time nasepa sigeuki nyuma hata awe mzuri vipi. Hiyo ndo kanuni niliyojiwekea.
 
Kumtongoza mtu na akakwambia hapana na inawezekana anamtu yupo naye na wanamipango thabiti,so kukuomba hela au kukopa siyo issue, wewe nikama rafiki yake tu,maana ukitongoza Si lazima ukubaliwe maana nayeye anahisia zake, so inatakiwa uziheshimu pia na inaweza kuendelea kuwa rafiki tu bila shida na mkaheshimiana.
 
Back
Top Bottom