A ably_yba New Member Joined Nov 20, 2023 Posts 1 Reaction score 1 Feb 14, 2024 #1 Naomba ufafanuzi juu ya hili swala la deni la taifa. Hivi kuongezeka kwa deni la taifa Kuna athari kwa nchi au wananchi?
Naomba ufafanuzi juu ya hili swala la deni la taifa. Hivi kuongezeka kwa deni la taifa Kuna athari kwa nchi au wananchi?
Mhafidhina07 JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 3,340 Reaction score 4,659 Feb 14, 2024 #2 kwani wewe ukiwa na madeni unapata athari gani?
Mzalendo Uchwara JF-Expert Member Joined Jan 26, 2020 Posts 4,437 Reaction score 13,836 Feb 14, 2024 #3 Kubwa sana. Mapato mengi ya serikali hususani yale ya kigeni yatakuwa yanatumika kuhudumia deni. Mwisho wa siku kutakuwa na uhaba wa fedha za kigeni na hivyo kuleta ugumu wa kuagiza bidhaa zinazotoka nje ya nchi kama vile mafuta. Hii pia inapelekea thamani ya shilingi kuporomoka na kupelekea mfumuko wa bei.
Kubwa sana. Mapato mengi ya serikali hususani yale ya kigeni yatakuwa yanatumika kuhudumia deni. Mwisho wa siku kutakuwa na uhaba wa fedha za kigeni na hivyo kuleta ugumu wa kuagiza bidhaa zinazotoka nje ya nchi kama vile mafuta. Hii pia inapelekea thamani ya shilingi kuporomoka na kupelekea mfumuko wa bei.
Mjanja M1 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 4,058 Reaction score 14,382 Feb 14, 2024 #4 Haya ndio mambo napenda kuona. PambanaZaidi/CottonandMore