The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 459
Habari za siku wadau,
Nimekuwa nkijiuliza whether i am emotional insensitive ama kuna watu waliumbwa kutokupenda..
Naomba nsieleweke vibaya but sijawahi kupenda nadhani. I‘ve had girlfriends from as long ago as when i felt i needed to have sex. I have a girlfriend for three years now but i think the only reason i‘m with her is because everyone else has a partner so it‘d be odd..and because i need someone to have sex with.
Kuna mmoja kati ya ex-girlfriends aliwahi kuniambia "you are emotionaly insensitive creature". Mwingine alisema "you don‘t know what it is to love somebody, you never have loved anyone and you never will".
Huyu wa sasa kasema "i knw you are with me out of convenience"..
Naona watu wengi ni washairi kuhusu mapenzi ooh ukipenda u become crazy, mara love is that special feeling etc mimi sijawahi kuwa crazy na sioni tafauti other than the fact girls can meet my sexual needs..
Na huwa sifeel chochote hata kumuwaza huyo binti simuwazi mpaka nkiskia namuhitaji kitandani..at some point, hata aki-act weird mi i don‘t react anyhow..na huwa naulizwa are u never jealous or angry no matter what i do?
Is this normal jamani?
Nimekuwa nkijiuliza whether i am emotional insensitive ama kuna watu waliumbwa kutokupenda..
Naomba nsieleweke vibaya but sijawahi kupenda nadhani. I‘ve had girlfriends from as long ago as when i felt i needed to have sex. I have a girlfriend for three years now but i think the only reason i‘m with her is because everyone else has a partner so it‘d be odd..and because i need someone to have sex with.
Kuna mmoja kati ya ex-girlfriends aliwahi kuniambia "you are emotionaly insensitive creature". Mwingine alisema "you don‘t know what it is to love somebody, you never have loved anyone and you never will".
Huyu wa sasa kasema "i knw you are with me out of convenience"..
Naona watu wengi ni washairi kuhusu mapenzi ooh ukipenda u become crazy, mara love is that special feeling etc mimi sijawahi kuwa crazy na sioni tafauti other than the fact girls can meet my sexual needs..
Na huwa sifeel chochote hata kumuwaza huyo binti simuwazi mpaka nkiskia namuhitaji kitandani..at some point, hata aki-act weird mi i don‘t react anyhow..na huwa naulizwa are u never jealous or angry no matter what i do?
Is this normal jamani?