jassone jasper
Member
- Aug 23, 2014
- 12
- 5
Hivi kupiga push up kunachukua muda gani ili misuli ya kifua na mikono itanuke??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mwili wako una mafuta mengi, sahau! Utapika mpaka yesu anarudi ndo itatanuka!! Kama una mafuta mengi, yeyusha kwanza hayo mafuta, kimbia, ruka kamba mpaka utoke jasho la kufa mtu!! In short fanya cardio! Kama hauna mafuta nabunafanya press ups kwa ratiba nzuri, mwezi tu uko na masoz za kukatika!!Hivi kupiga push up kunachukua muda gani ili misuli ya kifua na mikono itanuke??
Hivi kupiga push up kunachukua muda gani ili misuli ya kifua na mikono itanuke??
Chaa ajabu unakutaInategemeana pia na lishe yako.
NdiyoUnataka kuwa baunsa?
Anza na msosi kwanzaNdiyo
Inategemea ntu na ntu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hivi kupiga push up kunachukua muda gani ili misuli ya kifua na mikono itanuke??
ungemtajia na aina ya msosi sio msosi msosi tuAnza na msosi kwanza
we jamaa bana😀😀 umeanza kupiga pushups saa 1 asubuh leo,halafu saa kumi jioni unataka uwe umeshavimba kifua hahahahahaha.....bila shaka utakua festi yia wewe😀😀Hivi kupiga push up kunachukua muda gani ili misuli ya kifua na mikono itanuke??
Unataka kuwa baunsa?
Ndiyo