Miye kwa kweli sikubali, yaani kucheza kote kule ngoma ya Kibati Mheshimiwa alipokuja kupiga kampeni Unguja na Pemba ina maana ndo keshatusahau!
Hebu nihabarisheni wenzangu huko Bara weshaitwa Magogoni kupongezwa baada ya kumuwezesa mheshimiwa kuingia Magogoni?
Au kapongezwa Diamondi peke yake?
Miye kwa kweli sikubali, yaani kucheza kote kule ngoma ya Kibati Mheshimiwa alipokuja kupiga kampeni Unguja na Pemba ina maana ndo keshatusahau!
Hebu nihabarisheni wenzangu huko Bara weshaitwa Magogoni kupongezwa baada ya kumuwezesa mheshimiwa kuingia Magogoni?
Au kapongezwa Diamondi peke yake?
Mtasubir sana. Hela za kuwapongeza tunanunua vitanda muhimbil. Nyie tutawatumia salamu RTD