Hivi kupigwa kibuti na mpenzi au kufiwa na mpenzi ipi inauma sana

Hivi kupigwa kibuti na mpenzi au kufiwa na mpenzi ipi inauma sana

vyote vinauma ila msiba unauma zaidi kwani mwenzio ndiyo huwa kayarudia mavumbi ya nchi
 
mmmh,jamani hata hulo unahitaji kusaidiwa?
ukiambiwa ufe au uachwe unachagua nini?
 
Mhh hapo yote ni mitihan maana ukipigwa kibuti then unaendelea kumwona anapeta na m2 mwingne utaendelea kuumia, akifa napo ndo vilio haviishi ingawa itafikia muda utasahau
 
vyote vinauma ila msiba unauma zaidi kwani mwenzio ndiyo huwa kayarudia mavumbi ya nchi


kibuti nacho unaweza kuumia hata miaka 5, kama utakuwa unamuona kila mara ila kifo nadhani kusahau ni rahisi
 
mmmh,jamani hata hulo unahitaji kusaidiwa?
ukiambiwa ufe au uachwe unachagua nini?

nahitaji kusaidiwa mpendwa, hapa siongelei kufa mimi ila huyo mwenzi ( sijawahi kufiwa ila nataka kujua tu, ila nimekuwa naumia sana pale kibuti kinapotokea)
 
kama nampenda sana kuliko awe na mwanamke mwingine ni bora afe tukose wote.ntaumia then yataisha.hii ya kukosa na kuumia muda wote ni mateso zaidi
 
Please Hakuna hata comparison.... Bora upigwe kibuti kutakuwa na closure. Kwamba fulani hakupendi hakuna kujiuliza if...... au ingekuwaje.

Lakini Kufiwa ni kuondokewa na mtu ambaye ulikuwa unampenda na yeye anakupenda. All those good memories....
 
kibuti kama unakiendekeza ofcourse kitakuuma,kila siku unatakiwa kuchagua either a gud or a bad day,kifo ni mpango wa Mungu na lazima kiume sana coz maybe mlikuwa na mipango mingine mikuuuubwa,lkn kibuti nadhani unaweza kumshukuru Mungu coz huwezi jua amekuepusha na nn kumbuka kila mtu anaubavu wake Mungu kamuandalia so inawezekana si ubavu wako huo,anything thats hurt u its not urs.(he/she,is not the only fish in the pond!)
 
Mi nikiwa naye huwa naomba yote hayo yasinitokee,ila ikitokea akanipiga kibuti ndio huwa naona bora afe tu,na wakati mwingine namuombea hata akutane na nyoka nikiwepo ili mimi nimsaidie nyoka amng`ate vizuri.
 
Mi nikiwa naye huwa naomba yote hayo yasinitokee,ila ikitokea akanipiga kibuti ndio huwa naona bora afe tu,na wakati mwingine namuombea hata akutane na nyoka nikiwepo ili mimi nimsaidie nyoka amng`ate vizuri.

ulishawahi kufiwa mpenzi uliempenda sana, ulijisikiaje kwani nataka kufahamu tu kama maumivu huwa ni sawa
 
Maswali mengine bwana lol Kibuti hakiumi sana kama kumpoteza mwenza wako .
 
Duh kuna watu kweli wanafikira za kiselfish sijaona mfano.

Yaani yaani unatafuta wepesi wa nafsi yako kiasi cha kujiuliza kama ni bora kwa mwenzi wako kufa kuliko kukuacha.

Huyu alokuwa mpenzi wako unaesema unampenda sana unaweza kumfikiria kufa kweli!
 
Mi nikiwa naye huwa naomba yote hayo yasinitokee,ila ikitokea akanipiga kibuti ndio huwa naona bora afe tu,na wakati mwingine namuombea hata akutane na nyoka nikiwepo ili mimi nimsaidie nyoka amng`ate vizuri.

Mkuu umepiga vibuti vingapi na wewe umepiga vingapi! hebu wote hao wageuze marehemu. inakaaje hii
 
Duh kuna watu kweli wanafikira za kiselfish sijaona mfano.

Yaani yaani unatafuta wepesi wa nafsi yako kiasi cha kujiuliza kama ni bora kwa mwenzi wako kufa kuliko kukuacha.

Huyu alokuwa mpenzi wako unaesema unampenda sana unaweza kumfikiria kufa kweli!

hapana gaijin sio kwamba nafikiria mpenzi afe ila nataka kujaribu kujua kama maumivu ya kuachwa na kufiwa huwa yanafanana
 
kibuti kama unakiendekeza ofcourse kitakuuma,kila siku unatakiwa kuchagua either a gud or a bad day,kifo ni mpango wa Mungu na lazima kiume sana coz maybe mlikuwa na mipango mingine mikuuuubwa,lkn kibuti nadhani unaweza kumshukuru Mungu coz huwezi jua amekuepusha na nn kumbuka kila mtu anaubavu wake Mungu kamuandalia so inawezekana si ubavu wako huo,anything thats hurt u its not urs.(he/she,is not the only fish in the pond!)

Word!
 
Back
Top Bottom