nyanimzungu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 1,204
- 934
Muongo me mwenyewe nsharist najua utaratibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umerisit mwaka Jana auMuongo me mwenyewe nsharist najua utaratibu
2010Umerisit mwaka Jana au
Na ukiwa siliuz kule unaopoa mapka GPA ya 4.5kwann watu wa diploma mnaongoza kulalamikia sn hyo gpa ya 3? wakati nyinyi ndio rahisi kufaulu kuliko A*Level ambako masomo ni magumu kwani ufanya mtihani mmoja tu..nyinyi mna assignment, quiz,test na mitihani ya semester...ndugu relax ujipange uone unafanya nn kulaumu ni kujiongezea stress.
Mjadala nimpana..Hakuna tatizo.. lakin kama chuo kimejaa au cozi husika tayari ina wanafunzi wengi.. huyo mwanafunzi atapataje hizo taarifa?
Nipe nmba nikutumieMkuu samahani nikusumbue
Naomba picha ya page ya kwanza ya hiyo taarifa
Nataka nione sifa za udahili Kwa mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita 2016 kurudi nyuma