Hivi kurisit mtihani ni lazima urisit masomo yote 2017/18

Hivi kurisit mtihani ni lazima urisit masomo yote 2017/18

[HASHTAG]#mikedaniel[/HASHTAG] kumbe ni mgeni. Hili jukwaa ni mambo ya technology tu mtu angu
 
Ooky nikajua kwa vile kun vigez vngi kwamb anaweza kufit kweny vigezo vngn vdgdg vile
 
Bas lkni naweza kumshaur akasom nje km VIP hilo nlo VIP sbbu nahis vigez kul hvikupanda km tz huku
 
kwann watu wa diploma mnaongoza kulalamikia sn hyo gpa ya 3? wakati nyinyi ndio rahisi kufaulu kuliko A*Level ambako masomo ni magumu kwani ufanya mtihani mmoja tu..nyinyi mna assignment, quiz,test na mitihani ya semester...ndugu relax ujipange uone unafanya nn kulaumu ni kujiongezea stress.
Na ukiwa siliuz kule unaopoa mapka GPA ya 4.5
 
Wakati wenzie wanakula kitabu yeye alikua wapi?
 
Back
Top Bottom