DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Kwa mamlaka za Tanzania ni kosa kisheria
Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi kutoka hadharani naamini utasikilizwa na utafanikiwa.Yawezekana wengine hawatanielewa, lakini swali langu hasa ni kwa wale wanaoandaa mabango hasa pale Mtu mkubwa anapokuwa ziarani au kwenye public.
Kuna mtu amekasirishwa na bango kule kigoma na baada ya kuongea kuwa hilo bango hata lisoma nimeona wanausalama wanamvaa huyo kijana na kuondoka naye. Haijaeleweka kapelekwa wapi maana hata huyo aliyekasirishwa alitoa kauli yenye utata kuwa "Wengine mnajitafutia matatizo"
Hapa ndo tulipofika watanzania, wanaochekelea chekeni lakini tunakoelekea sio kuzuri.
hizi kiki mkuu unauhakika wamemtekaaAisee, inasikitisha kama wanausalama walimteka
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]