Hivi kushika bango linaoonyesha hisia zako ni kosa kisheria?

Kwa mamlaka za Tanzania ni kosa kisheria

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Jitahidi kutoka hadharani naamini utasikilizwa na utafanikiwa.
 
Kama waliweza kupotea watu maarufu na wenye kujulikana na jamii..

Mkuu, kama umefanikiwa kupata picha ya huyo kijana ni vizuri ukaiweka humu, pia na ujumbe husika katika hilo bango lake!
 
jee kushika ukuta

Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
 
tabia halisi ya mkuu inaanza kuoneka wazi kuwa ni mtu wa namna gani.bado mengine yanakuja zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…